Waziri Makamba: Iwe Mjini au Kijijini Gharama wanayatumia Tanesco kumuingizia mtu umeme ni Tsh 800,000

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,480
141,196
Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundombinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1.

Makamba amesema iwe Mjini au Kijijini Gharama za kuunganisha Umeme wanazotumia Tanesco ni wastani wa tsh 800,000

Source ITV Dakika 45

Mytake Baada ya ufafanuzi wa Tanesco ni wazi Shirika linatumia Gharama kubwa kuwasambazia Umeme Wananchi ikilinganishwa na kile mteja anachochangia.

===
Soma hapa ufafanuzi wa gharama kutoka TANESCO Waziri Makamba: Iwe Mjini au Kijijini Gharama wanayatumia Tanesco kumuingizia mtu umeme ni Tsh 800,000
 
Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundo mbinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1

Makamba amesema iwe Mjini au Kijijini Gharama za kuunganisha Umeme wanazotumia Tanesco ni tsh 800,000

Source ITV Dakika 45
Ndiyo maana Jiwe aliwafurumusha. Eti naye huyu ni waziri. hana sifa ila anabebwa na UCCM wa baba yake
 
Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundo mbinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1

Makamba amesema iwe Mjini au Kijijini Gharama za kuunganisha Umeme wanazotumia Tanesco ni tsh 800,000

Source ITV Dakika 45
Wale wapumbavu waliosema umeme wa REA NA ELIMU BURE BADO VIPO WAPO WAPI tuliwaambia kuwa SA100 hana akili yoyote ya kuongoza hata nguruwe wakabisha
 
Hiyo inainclude mita?

Maana kamwe gharama ya kuvuta umeme haijawahi kufanana vijijini na mijini..

Hata mijini kuna eneo na eneo..

Mimi naweza nikawa nimejenga karibu na nguzo, ambapo kinachohitajika ni mita na nyaya za kuingiza umeme ndani tuu, sasa iweje gharama iwe fixed?
 
Nadhani Hizo ni gharama wanazotumia Tanesco, shirika ni la Uma linalotumia Tozo na kodi zetu. Pia kila tunaponunua umeme tunakatwa rea, so Waziri atulize kichwa, in fact umeme ulipaswa tuunganishiwe Bure.

Wakihaimisha hiyo laki 8 kwa mfungaji, Tutarudi kwenye sola Mkopo.
 
Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundo mbinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1

Makamba amesema iwe Mjini au Kijijini Gharama za kuunganisha Umeme wanazotumia Tanesco ni tsh 800,000

Source ITV Dakika 45
Juzijuzi katembeteza mitungi midogo ya gesi ya kupikia huko Musoma kupunguza gharama kubwa nishati ya umeme huko vijijini? Leo yamekuwa Haya? Au nasema uwongo Bwashe?
 
Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundo mbinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1

Makamba amesema iwe Mjini au Kijijini Gharama za kuunganisha Umeme wanazotumia Tanesco ni tsh 800,000

Source ITV Dakika 45
 
Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundo mbinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1

Makamba amesema iwe Mjini au Kijijini Gharama za kuunganisha Umeme wanazotumia Tanesco ni tsh 800,000

Source ITV Dakika 45
Asee imefikia huku?Nitaamini nikiona mchanganuo.

Haya mambo mzee Magu aliyakataa sana;Unakuta nyumba ya milioni 500 ni kwa ajili ya gate keeper au mlinzi!
Mambo yanarudi kwa kasi ya 5G
 
Back
Top Bottom