Nchi imechukuliwa na wenyewe na kamwe hawataruhusu hawatapewa tena nafasi nchi hiiNdiyo maana Jiwe aliwafurumusha. Eti naye huyu ni waziri. hana sifa ila anabebwa na UCCM wa baba yake.
Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundo mbinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1
Makamba amesema iwe Mjini au Kijijini Gharama za kuunganisha Umeme wanazotumia Tanesco ni tsh 800,000
Source ITV Dakika 45
Mpendwa Mteja !Waziri wa Nishati January Makamba amemshukuru Rais Samia kwa kuwapa tsh 500bil kwa ajili ya ukarabati wa Miundo mbinu ya Umeme, jumla ya Fedha inayohitajika ni zaidi ya tsh trillion 1
Makamba amesema iwe Mjini au Kijijini Gharama za kuunganisha Umeme wanazotumia Tanesco ni tsh 800,000
Source ITV Dakika 45
🤣 Extrovert atarud tuHivi ni kweli enzi za Jiwe watu walikuwa wanavutiwa umeme kwa shilingi madafu 27k? Yani 12 USD. Is it really true maamae?!
Extrovert ( kala ban mods mnamuonea Sana huyu Mwamba)
Kwani mjini na kijijini wananchi wana tofauti gani katika kuunganishiwa huo umeme?Ndiyo maana Jiwe aliwafurumusha. Eti naye huyu ni waziri. hana sifa ila anabebwa na UCCM wa baba yake.
250 W bei gani?Usiogope sana Sola 100w inauzwa Tsh
135,000/=
Makamba is our next President in 2030. Piga KAZI Jembe MakambaThis is rubbish! Ndiyo maana Jiwe aliwafurumusha. Eti naye huyu ni waziri. hana sifa ila anabebwa na UCCM wa baba yake., Rubbish!
Okay Haina shida muda siyo mrefu nitaupandisha huu ufafanuz hapo juu kwa faida ya wote. Msalimie profesa mgayaAhsante mkuu kwa ufafanuzi makini Mungu wa mbinguni awabariki
Mods naomba pandisha huu ufafanuzi pale juu kwa faida ya wote
Usilete Siasa kwenye mambo muhimuNdiyo maana Jiwe aliwafurumusha. Eti naye huyu ni waziri. hana sifa ila anabebwa na UCCM wa baba yake.
Uwezo unatofautiana mkuu.JPM aliwezaje na hawa washindwe?
Kweli mkuu.Uwezo unatofautiana mkuu.
Tupe wewe basi gharama uzijuazo.This is rubbish! Ndiyo maana Jiwe aliwafurumusha. Eti naye huyu ni waziri. hana sifa ila anabebwa na UCCM wa baba yake., Rubbish!