Kumbe next week?? nilidhani kesho.Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.
Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.
Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.