Waziri Makamba: Hakuna uhaba wa mafuta nchini, amtaka Mkurugenzi wa TPDC akajieleze kabla hawajachukua hatua

Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.

Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.

Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Kumbe next week?? nilidhani kesho.
 
Sasa matank ya jamaa yako anakofanya kibarua kukosa mafuta ndio nchi imekosa mafuta? Acha upuuzi bwana, hakuna serikali zembe hivyo hata ingeongozwa na kibajaji
 
Huyu Suzy Elias amekuja RASMI kupambana na Januari Makamba na siyo kutoa michango chanya kwenye JUKWAA. Maana akaunti yake Haina hata one month, yeye na Makamba, umeme, gas na Leo mafuta.

Nahesabu one week kuanzia Leo, kweli tikikosa mafuta Nita " left" JF voluntarily
Labda aliwahi kupitiwa na garika lake

Maana siyo kwa malalamiko hayo


Ova
 
Unataka kusema kuwa marais 4 wa ukanda wa pwani sio ?!!!!

Acha kupanikishwa na maneno koko ya mtoa thread......
 

Suzy Elias "kazini" dhidi ya mh.komredi Makamba......

Suzy Elias unazusha taharuki ya uongo tu.......🤣🤣🤣



 
Kaka meli itaingia wiki hii kutakua na uhaba wa mafuta? Tuache viherehere tusubiri muda ufike
 
Hii issue ya ukosefu wa mafuta wiki ijayo huenda ni kweli.

Jamaa yangu anayefanya kazi kwenye kampuni inayoagiza na kuuza mafuta kwa jumla amedai huenda wiki ijayo wakawa hawana mafuta na madereva wao wanaorejea kutoka safari za masafa wamejulishwa hilo kwamba wiki ijayo wakapumzike hadi meli itaposhusha mzigo.

Ikumbukwe James Mataragio alitoa onyo kuhusu hilo wiki jana.
Huo ni mpango mkakati wa kampuni moja kubwa iliyochipusha vituo vyake nchi nzima
 
Mbona kuna Mwingine aliwatangazia Watanzania kuwa Mtu fulani hajafa, yupo hai na katoka Kuzungumza nae na kututaka tuendelee Kuchapa Kazi wakati kumbe muda mrefu alikuwa tayari ameshayaanza Maisha yake mapya katika Friji za Mzena Hospital kabla ya kuhamishiwa za Lugalo Hospital mkabala na Chuo chao cha Tiba cha MCMS?
Mzena hakuna monchwari, aliyekwambia hivyo kakupiga fix.
 
Sasa matank ya jamaa yako anakofanya kibarua kukosa mafuta ndio nchi imekosa mafuta? Acha upuuzi bwana, hakuna serikali zembe hivyo hata ingeongozwa na kibajaji
Mpumbavu sana huyu Dada Suzy Elias, nashauri iwapo next week kutakuwa na mafuta nchini, Mimi nipigwe "ban" ya milele. Ila iwapo mafuta yatakuwapo basi Suzy Elias Apigwe ban yeye. Halafu aje na ID nyingine

Hana cha kuandika zaidi ya January, TANESCO, Mafuta
 
Huo ni mpango mkakati wa kampuni moja kubwa iliyochipusha vituo vyake nchi nzima
Lake oil ni washenzi sitaki hata kuwasikia, lakini kwa hili la uhaba wa mafuta ni propaganda uchwara tu za watoto yatima.

Mdogo wangu yupo TPA na ndio wapo deep sea hakuna tatizo la upatikani wa mafuta.
 
Kaka meli itaingia wiki hii kutakua na uhaba wa mafuta? Tuache viherehere tusubiri muda ufike
Kama ya kula na Crued sawa ila Mogas,Disea,Jetty naJet Meli zimejazana.
👆👆

Hapo juu nimewasiliana na sasa hivi na reliable source na hayo ndio majibu yake.

Kama uhaba labda uwe wa mafuta ya kula na crued oil, lakini haya mengine meli za kumwaga.

Kwa kifupi huu ni uzushi urongo na uzandiki mtupu na kukosa uzalendo kwa wale kenge waliokuwa wanaimba uzalendo na kujifanya ndio wazalendo nchi hii.
 
Mzena hakuna monchwari, aliyekwambia hivyo kakupiga fix.
Monchwari ndiyo nini? Aliyekuambia inaitwa Monchwari badala ya Mochwari si tu kakupiga Fix, ila pia amekudharau mno na kukuona ni Mpumbavu Mkomavu dunia nzima.
 
Back
Top Bottom