Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,714
- 6,036
Alikuwa hatishi alikuwa anafukuza. Ni vitu viwili tofauti.Yale yale matisho ya mwenda kuzimu. Yaani Makamba nae kawa hivi tena??
Alikuwa hatishi alikuwa anafukuza. Ni vitu viwili tofauti.Yale yale matisho ya mwenda kuzimu. Yaani Makamba nae kawa hivi tena??
Ona jinga hiliPamoja na yoteyote binafsi ya Makamba Jr.
Naona yuko kwenye pressure sana, either kuna watu wanataka afeli au tayari mbio za Urais zimeanza kuna watu wanataka wamuharibie, maana kila kukicha linazuka jipya.
Makamba Jr kuwa mtulivu inaonekana upo kwenye vita kali, tumia akili kwenye kufanya mambo yako, hiyo wizara ni kubwa na ina mambo mengi, uko mtegoni.
Kwenye shirika la ummaHivi makamba anaposema kauli ya uhakika ni ya serikali kwani huyo mkurugenzi wa TPDC anafanya kazi wapi?
Serikali ya Tanzania haizalishi mafutakwa hisani ya serikali ya awamu ya sita
mambo yanayoendelea kwenye wizara hiyo tangu usukani yanadhihirisha hilo.kwahiyo makamba kumpinga mzee ashakuwa debe?
Kwani January ni wa kabila gani?James kwa uzalendo wake na kwa u mimi na upigaji wa January kamwe hawezi kudumu pale.
Anaweza kuwa na mapungufu lakini hayotoshi kwa yeye kuitwa debe.mambo yanayoendelea kwenye wizara hiyo tangu usukani yanadhihirisha hilo.
acha ushamba wa maneno, siasa uchwara, unalala na njaa nyumbani kwako unasingizia jirani mchawiYale yale matisho ya mwenda kuzimu. Yaani Makamba nae kawa hivi tena??
Acheni roho mbayaJanuary Makamba again, kiti ulichopewa ni kikubwa kwako.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi nadhani alitaka kuweka worse case scenario kwamba ikitokea meli haijafika ila alikosea sababu bulk system ndio wanajukumu hilo kuhakikisha wale walioshinda tender wanaleta kwa wakati na hii imekuwa toka 2012 sasa mkurugenzi wa TPDC hii sio kazi yake kusemea serikali nadhani ameshajuwa kuna chance TPDC wakarudishiwa wao wawe kama waagizaji pekee kitu ambacho hakitatokea wameshanusa ulaji sasa wamefufuka. Kwa kauli hii mkuregenzi wa TPDC kaingilia mamlaka sio yake kabisa maana hata yeye na kampuni yake wameshinda tender kwa kushindana na wengine hawakupewa tu kama zawadi. Waziri yuko sahihi jamaa kachemka ila naamini hakuwa na nia mbaya ila hakuliweka sawa na vile waandishi wetu hawa wanadaka moja baya tu.Huenda Dk James Mataragio ambaye ni mkurugenzi mkuu wa TPDC akafutwa kazi kwa kile kilichosemwa na Makamba ni kuupotosha umma.
James, hivi karibuni alinukuliwa akisema endapo meli ya mafuta isipotia nanga ndani ya wiki mbili Nchi itashuhudia uhaba mkubwa wa mafuta jambo ambalo limeonekana kumkwaza Makamba.
Mimi sioni kosa la mkurugenzi hapo.Huenda Dk James Mataragio ambaye ni mkurugenzi mkuu wa TPDC akafutwa kazi kwa kile kilichosemwa na Makamba ni kuupotosha umma.
James, hivi karibuni alinukuliwa akisema endapo meli ya mafuta isipotia nanga ndani ya wiki mbili Nchi itashuhudia uhaba mkubwa wa mafuta jambo ambalo limeonekana kumkwaza Makamba.
Bashiru alikuwa waziri wa wizara gani?Atakuwa waziri wa pili kukaa muda mfupi sana wizarani kama Dr Bashiru