Waalimu wa Sana'a wapo wengii sanaaa mashuleniWalimu wa kada zote wanastahili ajira.
Nilidhani akili zako zimeishia kwenye kuuza matv na simu tu kumbe una akil hivi.UTEUZI UJAO TCRA UKAKAE WEWEAngesema walimu wa historia ya Sayansi angeeleweka vizuri.
Hawa wanasayansi wetu hamna kitu, wengine ni ma PhD lakini wameshindwa kujenga hata kichanja cha kisasa cha kuanikia dagaa ziwa Victoria
SawaWaziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imepata kibali kwa Mhe. Rais Samia Suluhu cha kuwaajiri walimu wapya huku kipaumbele kikiwa ni walimu wa Sayansi. Amesema hayo katika muendelezo wa ziara yake Mkoani Tabora...
Uko sahihi kabisa. Miaka nenda wanawakaririsha tu watoto kuhusu Archimedes Principle!! What is biology! Halafu yule bingwa wa kukariri ndiye anaye chukuliwa kuwa mwenye akili!Angesema walimu wa historia ya Sayansi angeeleweka vizuri.
Hawa wanasayansi wetu hamna kitu, wengine ni ma PhD lakini wameshindwa kujenga hata kichanja cha kisasa cha kuanikia dagaa ziwa Victoria
At the last ndo mnaenda kutibiwa na hao hao manesi/madoctor/wataalamu wa maabara huku mkinywa vinywaji vyenu vya juice na ice cream zilizotengenezwa na hao hao Wana science na kuhakikisha na TFDA na TBS zinazoongozwa na hao hao Wana science.Uko sahihi kabisa. Miaka nenda wanawakaririsha tu watoto kuhusu Archimedes Principle!! What is biology! Halafu yule bingwa wa kukariri ndiye anaye chukuliwa kuwa mwenye akili!
We ni wakupuuzwa maana unaishi kula na kimya Bila kuona science inavyotumika ktk jamii,wewe akili yako imekalia kusubiri ugunduzi tu,afu unaenda KWA doctor kufanya nn Sasa?Angesema walimu wa historia ya Sayansi angeeleweka vizuri.
Hawa wanasayansi wetu hamna kitu, wengine ni ma PhD lakini wameshindwa kujenga hata kichanja cha kisasa cha kuanikia dagaa ziwa Victoria
Nikuambie jamboWe ni wakupuuzwa maana unaishi kula na kimya Bila kuona science inavyotumika ktk jamii,wewe akili yako imekalia kusubiri ugunduzi tu,afu unaenda KWA doctor kufanya nn Sasa?
Unakula sembe na Maharage afu unakuja kuongea utumbo
wivu mbaya sana , kwani kuna mtu alikulazimisha kusoma hayo masomo ya kidada , hebu ngoja niwashushie madogo nondo za physics hapaAngesema walimu wa historia ya Sayansi angeeleweka vizuri.
Hawa wanasayansi wetu hamna kitu, wengine ni ma PhD lakini wameshindwa kujenga hata kichanja cha kisasa cha kuanikia dagaa ziwa Victoria
wivu mbaya sana , kwani kuna mtu alikulazimisha kusoma hayo masomo ya kidada , hebu ngoja niwashushie madogo nondo za physics hapa
Phisics yenyewe ulipata ngapi mkuu kwenye mitihani yako ya necta??🙊🙊🙊🙊🙊wivu mbaya sana , kwani kuna mtu alikulazimisha kusoma hayo masomo ya kidada , hebu ngoja niwashushie madogo nondo za physics hapa
Shule yangu ya kata kwa sasa ina walimu wa sayansi 5 na wa sanaa 7. Kutokana na uhuru wa kuchagua masomo kuanzia kidato cha tatu, idadi ya wanaosoma sayansi ni ndogo mno na hao walimu wa sayansi wameshakuwa wengi na shida sasa imegeukia upande wa sanaa. Wafikirie vizuri, hata walimu wa Sanaa limeshakuwa tatizo........shule nyingi hawana walimu wa civics, geography, English na historiaHuyo ndugu ana akili za kizee sana.Inabidi tu apumuzike kama wengine.
Mpumbavu sana wewe,inaonyesha level yako ya upumbavu ni kubwa sanaNikuambie jambo
Unajua hata Darasa la saba failure ukimpekeka course kwa Rasi Simba kisha ukampeleka India akasomee U MD baada ya miaka kadhaa a to akuwa dakrari mzuri tu.
Nyie wapuuzi kazi yenu kukalili ma Archimedes principal ndio mnalilia muajiriwe mkawafundishe ujinga watoto wetu?
Miaka nenda rudi mnaendelea kufundishana kukariri?
Nikuambie jambo
Unajua hata Darasa la saba failure ukimpekeka course kwa Rasi Simba kisha ukampeleka India akasomee U MD baada ya miaka kadhaa a to akuwa dakrari mzuri tu.
Nyie wapuuzi kazi yenu kukalili ma Archimedes principal ndio mnalilia muajiriwe mkawafundishe ujinga watoto wetu?
Miaka nenda rudi mnaendelea kufundishana kukariri?
Kwa hio wewe hujawahi kukariri eti ? Herufi ulizijulia tumboni kwa mama yako au ulizigundua wewe?Nikuambie jambo
Unajua hata Darasa la saba failure ukimpekeka course kwa Rasi Simba kisha ukampeleka India akasomee U MD baada ya miaka kadhaa a to akuwa dakrari mzuri tu.
Nyie wapuuzi kazi yenu kukalili ma Archimedes principal ndio mnalilia muajiriwe mkawafundishe ujinga watoto wetu?
Miaka nenda rudi mnaendelea kufundishana kukariri?