Waziri Maige na nyumba ya Sh milioni 656m

ukisoma maelezo ya Maige ni kuwa ile yote ilifanyika kwa ajili ya kujilinda maaana hata leo nikiwa na bilioni moja nataka kununua nyumba nitafanya kama Maige lakini kwa wenye akili tunajua hiyo ni kupotezea tu. Cheki hayo marejesho ya mwezi yalivyo makubwa ....nchi hii tunaibiwa sana lakini iko siku hizi nyumba mtazitema tu......
 
Kuwa na nyumba ya bei mbaya si dhambi. Waziri katoa vielelezo vya kipato chake na kasema karipoti assets zake.

Kama kuna sehemu mna habari kaiba au kala rushwa toeni hizo habari. Kama kuna conflict of interest waziri ku own hizo businesses, spell that out. Kama assets / income yake haitoshi let's discuss that. Kama hajaripoti vitu that is fair game kummulika.

Lakini si kumsema mtu kwa sababu ana nyumba ya bei mbaya.

Innocent until proven guilty, not the other way around.

Mie nina nyumba za midola laki kadhaa each, moja just under half a mill, na wala sina hata position ya kufanya ufisadi. Mikopo tu na mortgages, unazungusha hela mjini. Hata nyumba zenyewe sizihesabu kama zangu kihivyo mpaka nitakapolipa mikopo ya watu.

Tusifanye umasikini wetu utupofushe tukose kujua hata maana ya mortgage.
Si kweli mtumishi wa serikari anaweza kukopa pesa kiasi hicho eti kwa ajili ya nyumba tu ,haiwezekani kabisa, kama wewe unazo sina kipingamizi inawezekana ulipata hizo nyumba kwa kutumia FEDHA CHAFU endelea na moyo huo
 
A MASTERPIECE THREAD!

TRA wanatuambia nini juu ya hili? TUNATAKA RIPOTI YA WAZI YA KODI YA MAPATO JUU YA MTU HUYU.

Lakini anasemaje juu ya JENGO mtaa wa uhuru opposite na TOTAL?
 
kufupisha mambo safari ya roli hadi KONGO si chini ya siku 3 mpaka 4 kwa roli lenye mzigo ina maana mpaka kupakua mzigo itakua siku 6 hizi tuseme ni wek moja ishakatika likirudi dar ni wiki ya pili mpaka lipakiwe mzigo lirudi Congo ni wiki ya tatu likirudi dar ni wiki ya nne ina maana mwezi ni tayari hapo

Sasa kwa tripu 2 na kasema ana maroli mawili kwa mwezi atapiga tripu nne za kupeleka mzigo hatuwezi juu yakirudi yanateremka na mzigo

Cost ya tripu moja hadi kongo si chini ya milioni 5 tsh kwa tripu 4
Total unapata milioni 20 tsh
Tukiweka labda yakirudi yapate bahati ya kuteremka na mzigo milioni 10
Unapata jumla ni kama milioni 30
Weka mafuta ya kwenda na kurudi + services za gari mshahara kwa dereva tunatoa millioni 7

Kwahiyo tuseme maige anasave millioni 23 kwa mwezi hili jambo linawezekana lakini kusema dola 20000 ambayo ni sawa na mili 32 hapana kuna kitu hapa maige anatuficha o tuseme kampuni yake ina malori zaidi ya hayo ndo nitakubaliana naye

Kuna kingine labda kampuni yake imeingia mkataba na kampuni fulani kupeleka hiyo mzigo hapo biashara yake itakuwa ya uhakika maana malori yakirudi dar hayana haja ya kusubiri mzigo tena yanapakia na kurudi tena mkoa

Pia inategemea na mzigo unayobeba hayo malori inaweza kufika hadi milioni 8 per tripu kwenda Congo.

So inawezekana kabisa anaweza kupata hiyo pesa kwa mwezi ni pia isiwezekane kupatikana maaana sio kila mwezi flow ya biashara ni nzuri

Kingine watz tuache wivu kama mtu ana biashara zake za kuweza kumuingizia kipato ni sawa kama kweli atuibii lakini kama anatuibia hapo ndo tumuongelee

Katika ulimwengu wa sasa watu wanafanya biashara na siasa huwezi ukafanya siasa kama maisha yako ya daily ukaishi

Bush alikuwa na kampuni yake kubwa ya mafuta.waacheni watu wawekeze kama kweli hizo hela wamezipata kihali hazikua za kifasadi.
 
Jamani sio lembeli ni kamati ya bunge ndio imechunguza haya hata siku ile bungeni hoja alijobu maige km form one hana cha kujitetea hata spika alimmbana. Kamati ya bunge ya mali asili sio lembeli kuna wajumbe zadi ya 15. Maige mali zake zinashaka hayo maelezo hapo juu ni finika kombe ni baadhi ya mawaziri wetu.
 
Hahahaaha...but anazo other sources za kipato. Sidhani kama hii itampa shida sana.

Rejao kwa kupotosha! Kwanza umesema logistic inalipa sana....sasa hivi unasema ana vyanzo vingine. Ina maana vile vya transport havikidhi haja ya kujustify huo ununuzi/umiliki wa jumba hilo.

Pia sisi wengine hatuko mbali na hiyo industry: kwa mfano unaweza kugenerate revenue ya 1b lakini ziko gharama za uendeshaji na za mitaji ambazo ukizitoa unabaki na faida. Sasa kama huyu Maige ana N/Profit ya shs? ktk miaka mingapi ?

Ishu iko hivi sote tunakopa na kufanya biashara. Lakini hawa mawaziri/mafisadi wanapokopa ni ili kuzuga/kuvisha wananchi miwani juu ya ufisadi waliofanya. Wanajaribu kusafisha uchafu wa fedha/mali zao. NOOOOO REJAO!
 
Huenda kweli akawa na uwezo wa kumiliki hizo hela, lakini kwa Twiga amepanda ndege kupelekwa ugaibuni na vitalu vimeuzwa isivyo,nini kitanizuia kumwita mwizi mkubwa huyu Maige.
 
kufupisha mambo safari ya roli hadi KONGO si chini ya siku 3 mpaka 4 kwa roli lenye mzigo ina maana mpaka kupakua mzigo itakua siku 6 hizi tuseme ni wek moja ishakatika likirudi dar ni wiki ya pili mpaka lipakiwe mzigo lirudi Congo ni wiki ya tatu likirudi dar ni wiki ya nne ina maana mwezi ni tayari hapo

Sasa kwa tripu 2 na kasema ana maroli mawili kwa mwezi atapiga tripu nne za kupeleka mzigo hatuwezi juu yakirudi yanateremka na mzigo

Cost ya tripu moja hadi kongo si chini ya milioni 5 tsh kwa tripu 4
Total unapata milioni 20 tsh
Tukiweka labda yakirudi yapate bahati ya kuteremka na mzigo milioni 10
Unapata jumla ni kama milioni 30
Weka mafuta ya kwenda na kurudi + services za gari mshahara kwa dereva tunatoa millioni 7

Kwahiyo tuseme maige anasave millioni 23 kwa mwezi hili jambo linawezekana lakini kusema dola 20000 ambayo ni sawa na mili 32 hapana kuna kitu hapa maige anatuficha o tuseme kampuni yake ina malori zaidi ya hayo ndo nitakubaliana naye

Kuna kingine labda kampuni yake imeingia mkataba na kampuni fulani kupeleka hiyo mzigo hapo biashara yake itakuwa ya uhakika maana malori yakirudi dar hayana haja ya kusubiri mzigo tena yanapakia na kurudi tena mkoa

Pia inategemea na mzigo unayobeba hayo malori inaweza kufika hadi milioni 8 per tripu kwenda Congo.

So inawezekana kabisa anaweza kupata hiyo pesa kwa mwezi ni pia isiwezekane kupatikana maaana sio kila mwezi flow ya biashara ni nzuri

Kingine watz tuache wivu kama mtu ana biashara zake za kuweza kumuingizia kipato ni sawa kama kweli atuibii lakini kama anatuibia hapo ndo tumuongelee

Katika ulimwengu wa sasa watu wanafanya biashara na siasa huwezi ukafanya siasa kama maisha yako ya daily ukaishi

Bush alikuwa na kampuni yake kubwa ya mafuta.waacheni watu wawekeze kama kweli hizo hela wamezipata kihali hazikua za kifasadi.

Mkuu Majanikv..good analysis.
 
nenda kasome ripoti ya lembeli utapata ushahidi wote. hakuna mtu yeyote anayefanya biashara ya malori na kutengeneza pesa nyingi kiasi hiki na hata kama kama ingekuwa ni kweli biashara ya magari ninayoifahamu mimi ukitoa gharama za mafuta na gharama za uendeshaji kwa ujumla ukipata faida ya $2000 utakuwa na bahati sana.
ukiona mtu anaji stretch kwa kuchukua mikopo mikubwa namna hiyo basi ujue kuna pesa ameficha mahala na anatumia mkopo wa benki kushikizia tu. ushahidi mwingine ukitaka kujua kama huu ni uongo mtupu mwambie aweke income tax ya mwaka jana uone kama ajakimbia.

Mara nyingi wahalifu wanapotaka kufanya uharamia wao kitu cha kwanza wanachokifanya ni kuharibu utaratibu halali uliowekwa. Maige alifanya hivyo hivyo kwa kuhalibu utaratibu na maelekezo aliyopewa ya jinsi ya kugawa vitalu vya kuwindia na kwa kufanya hivyo alipata mwanya wa kuweza kujipatia fedha kwa njia haramu kutokana na ugawaji wa vitalu hivyo!! Kama ulivyoandika, huyu kijana amezificha hizi fedha mahala na hii mikopo anayosema anachukua ni dongo la macho kuficha wizi wake!! LAKINI KAMA ALIFANIKISHA WIZI WA WANYAMA WETU KWENDA QATAR na kuficha siri kuwa mkuu wa nchi alihusika kwanini na yeye asitumie mwanya huo kuiba wakati huo huo akikingiwa kifua na bosi wake?
 
Unaota au? Kwa mwezi hiyo revenue ni ndogo sana. Magar ya mizigo yanalipa sana.

Wewe ni mwongo wa kutupwa jehanam, my best friend owns a number of trucks which transports goods to congo,rwanda,zambia etc he denies such an income(usd 10,000) can not be generated by one truck within a month!
 
Wewe kila biashara unafanya kujenga nyumba upo, Usafirishaji upo. Kweli ungekuwa na biashara zote hizo usingekuwa na muda wa kipumbavu kukaa jamiiforum all time

Majanikv,
Yani Rejao hata biashara ya kuuza Bangi atakwambia anafanya. Ilimradi tu mkono wake uende kinywani ili apate upenyo wa kutetea magamba.
 
Does anyone buy into the kind of proof and justification he has provided? $20,000 dollars revenue per month from transport business having only two trucks i.e., $10,000 income per truck per month?

two trucks mostly will give u $8000 net per month if u take them to burundi, rwanda, malawi. locally is even less..at times just kaa kimya huna haja ya kuonyesha watu umepata wapi hela tunajua wezi wako wengi
 
Mimi Nina marafiki wanafanya hii biashara ya malori kwenda Congo ...there is no way you can make a profit ya dola 20'000 kwa trucks mbili..tatizo kubwa kwa rootza Congo ni umbali .....hata Kama gari jipya ...,ukiritimba barabarani kwenye forodha tunduma,na mpaka ndani ya Congo....etc.....wengi wanaofanya hiibiashara ongeeni nao ...the maximum profit you can make per truck In a month ni dola 6,000
........hizi projection za Maige zinadhibitisha kuwa amechukua mkopo wa kuzuga...tu..maana ndicho viongozi wengi wala rushwa hufaaanya ....kusafisha pesa Zao..
Yeye kama waziri jinsi alivyoweza kukopeshwa na benki zetu ili apate mkopo wa kununua nyumba,ndivyo hivyo allivyoweza kutengeneza faida kutokea shughuli ya uchukuzi wa mizigo kutumia maloli yake.Yawezekana hakuna middle man katika kupata freight rate,directly in contact na mwenye mizigo.Pili yawezekana aina ya mizigo anayosafirisha ikawa na freight kubwa kuliko mizigo ya kawaida.Tatu malori yake hayacheleweshi mipakani kwa kuwa yeye ni mtu muhimu {waziri wa mali asili} Maadamu hakatazwi kufanya shughuli za biashara akiwa waziri .
 
Hold up....kwa hiyo ana nyumba ingine ambayo anaimiliki free and clear (ambayo thamani yake ni dola 410,000) na ndiyo alitumia title ya hiyo nyumba kujipatia huo mkopo wa pili wa dola 200,000 na kuongezea kwenye hela za kununua hiyo nyumba ya dola 410,000?
Mkuu,
Hili linawezekana mahali popote hapa duniani. Mfano wake mzuri ni hao walionunua Manchester United hapa UK. Walitumia njia hiyo hiyo .

Kwa Maige ni kwamba hizi cases zipo hasa unaponunua nyumba mpya kutoka kampuni ya ujenzi. Wao hata wanaweza kukusaidia kuongea moja kwa moja na bank. Kwahiyo Maige katumia nyumba hiyo hiyo anayonunua kupata mortgage bank.

Kitu cha kuchunguza na kumbana Maige ni kwenye kodi. Binafsi siamini anapata hizo dola anazosema anapata na njia pekee ku prove ni kuangalia mahesabu yake na kodi anazolipa.
Hapa huenda kuna mapesa ya wizi wanahalalisha kwa kutumia biashara ya malori.
 
kufupisha mambo safari ya roli hadi KONGO si chini ya siku 3 mpaka 4 kwa roli lenye mzigo ina maana mpaka kupakua mzigo itakua siku 6 hizi tuseme ni wek moja ishakatika likirudi dar ni wiki ya pili mpaka lipakiwe mzigo lirudi Congo ni wiki ya tatu likirudi dar ni wiki ya nne ina maana mwezi ni tayari hapo

Sasa kwa tripu 2 na kasema ana maroli mawili kwa mwezi atapiga tripu nne za kupeleka mzigo hatuwezi juu yakirudi yanateremka na mzigo

Cost ya tripu moja hadi kongo si chini ya milioni 5 tsh kwa tripu 4
Total unapata milioni 20 tsh
Tukiweka labda yakirudi yapate bahati ya kuteremka na mzigo milioni 10
Unapata jumla ni kama milioni 30
Weka mafuta ya kwenda na kurudi + services za gari mshahara kwa dereva tunatoa millioni 7

Kwahiyo tuseme maige anasave millioni 23 kwa mwezi hili jambo linawezekana lakini kusema dola 20000 ambayo ni sawa na mili 32 hapana kuna kitu hapa maige anatuficha o tuseme kampuni yake ina malori zaidi ya hayo ndo nitakubaliana naye

Kuna kingine labda kampuni yake imeingia mkataba na kampuni fulani kupeleka hiyo mzigo hapo biashara yake itakuwa ya uhakika maana malori yakirudi dar hayana haja ya kusubiri mzigo tena yanapakia na kurudi tena mkoa

Pia inategemea na mzigo unayobeba hayo malori inaweza kufika hadi milioni 8 per tripu kwenda Congo.

So inawezekana kabisa anaweza kupata hiyo pesa kwa mwezi ni pia isiwezekane kupatikana maaana sio kila mwezi flow ya biashara ni nzuri

Kingine watz tuache wivu kama mtu ana biashara zake za kuweza kumuingizia kipato ni sawa kama kweli atuibii lakini kama anatuibia hapo ndo tumuongelee

Katika ulimwengu wa sasa watu wanafanya biashara na siasa huwezi ukafanya siasa kama maisha yako ya daily ukaishi

Bush alikuwa na kampuni yake kubwa ya mafuta.waacheni watu wawekeze kama kweli hizo hela wamezipata kihali hazikua za kifasadi.

Asante mkuu kwa kudadavua zaidi. Kupata dola 10 kwa mwezi kwa trip inawezekana kabisa tena bila shida kama atakuwa na mkataba na kampuni ya uhakika huko kongo. Wengi mnaosema haiwezekani mnafanya biashara za kibabaishaji tu. Kwa mfano, kama kwa trip anapata US $3000 na anapiga to and fro basi kwa gari moja napata US $ 12,000 kwa mwezi (kama kwa mwezi anapiga trips 4). Hapo ukizidisha mara mbili (2 trucks) inakuja US $24,000 kwa mwezi ambayo ni zaidi ya aliyosema. Hapo tumekadiria tu kuwa kwa trip analipwa US $3,000 kama analipwa zaidi ya hapo basi anaingiza zaidi kwa mwezi. Sasa sijui mnaoponda kuwa jamaa hawezi kupata hizo US $ 20,000 kwa mwezi kwa magari mawili mmepiga hesabu gani. Tatizo letu wabongo ni kuwa umaskini unatuharibu akili zetu nazo zinakuwa masikini mwishowe tunaona ila kitu hakiwezekani tu.
 
Sasa kwa mtindo huu mnategemea Kuona reli inafanya kazi kweli?!! maana kumbe mawaziri ndio wanamiliki haya Malori yanayoua watu kila siku na kuharibu barabara zetu..na hawa wenye malori ndio wahujumu wa reli
 
[Hiyo revenue ni kubwa sana kwa malori, kama yangekuwa yanalipa hivyo kila mtu angewekeza hukoQUOTE=Rejao;3782708]Unaota au? Kwa mwezi hiyo revenue ni ndogo sana. Magar ya mizigo yanalipa sana.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom