Katika pitapita yangu, jana nilibahatika kumuona mheshimiwa maghembe akizungumzia suala la sukari, akapiga mkwara kweli sukari isiuzwe nje ya mipaka ya nchi na akatoa namba yake ya simu with confidence yani ka hajui eti anayejua wanaotoa sukari nje wampigie kwa namba aliyoitoa, kali kuliko zote niliposema kweli mawaziri tunao na ni kweli hawazingatii sheria aliposema, ATAKAYERIPOTIWA KUFANYA VIVO HATA KAMA HAWANA USHAIDI WATAMFUTIA LESENI'' nikagundua kuwa mambo mengi yanafanyika na kuamuliwa hata ka hakuna ushaidi make mtu kutokeza na kudhubutu kusema hivyo hali nchi inaongozwa kwa utawala wa sheria na katiba..pole sana mzee na nadhani ni uzee, sheria tanzania tunazo 415 na naomba zizingatiwe, siwatetei wanaouza sukari nje ila nashangaa kusikia waziri yaani public figure kama wewe unasema hata kama hauna ushaidi utafuta lesseni, inanipa wasiwasi kidogo na ubabe huu, na inanipa mwanga kuwa haya ndio mabavu yanayotumika kukandamiza walio wengi huku sheria zikitupwa pembeni!