Waziri Maghembe azomewa na wananchi Gallapo-Babati

Hiyo ndio Mikakati mipya ya CCM, ya kuwatumia Mawaziri wake kuelezea mazuri Mengi ya CCM ktk awamu hii ya nne. Juzi nilimshangaa saa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar-es-salaam ( Madabida sina uhakikana jina sahihi) akijaribu kuwaaminisha Watanzania wenye Ubongo timamu kwamba awamu ya nne chini ya rais Kikwete amefanya mengi mazuri zaidi ya awamu zote zilizotangulia ( kwa kusema hili naamini hata wana CCM walio wengi hawakufurahishwa nalo).

Sasa kama uhalisia ndio huo wa Kuzomewa ina maana CCM wanapokuwa kwenye vikao/ mikutano au makongamana wanapenda kuwazezeta watanzania na uongo wa kuzikuza takwimu za mafanikio wakati ndivyo sivyo.

Basi mfano huo wa kuwazomea ndio iwe ishara ya kuonyesha si tu kwamba watanzania wanajua kinachoendelea kwenye mkakati mpya wa uzugaji bali pia watanzania wamechoshwa na maneno matupu yasiyokuwa na matunda, kipango mizuri kwenye mikaratasi kwenye makaratasi wakati utelelezaji ni Zero.

Watanzania wamechoka na Siasa Uchwara ambazo zimejaa kulindana, Ruhwa and kupeana shukrani. Zomea, Zomea itaendelea kuwakumba wakiendelea kuhubiri hili wakati matendo na utekelezaji wake ni hakuna kitu.

Hongereni kwa Kuonyesha ukomavu kwa kujua haki zenu (maji ni hitaji la lazima kwa serikali makini dhidi ya watu wake). Ila mfanyavyo hivyo msiwadhuru kwani hiyo kuzomewa kwa mtu mwenye Bongo timamu ni fundisho tosha.
 
Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amezomewa na wananchi wa mji mdogo wa Gallapo wilayani Babati wakati wa mkutano wa hadhara baada ya waziri huyo kuktaa kuulizwa maswali na wananchi kuhusu kero ya maji na mgogoro wa muda baina yao na mamlaka ya maji ya mji huo GAWASA.Baada ya maghemmbe kuktaa kuulizwa maswali na wananchi walianza kumzomea pamoja na maafisa wa serikali alioandamana nao na mkutano ulivunjika ambapo waziri huyo aliondoka huku polisi wakiwazuia watu wasimdhuru pamoja na msafara wake.

Kwa muda mrefu mji wa Gallapo umekumbwa na uhaba wa maji kwa kile kinachoelezwa kuwa mamlaka hiyo imeshindwa kuwajibika na kutegemea chanzo kimoja cha ambacho kilianzshwa na wananchi hao miaka karibu ishirini iliyopita huku idadi ya watu ikiwa tayari imeongezeka kwa asilimia 100 katika kipindi hicho.



NATANGAZA DAU NONO KWA KILA MWENYE UWEZO WA KUTOA HUDUMA HIYO YA UZOMEAJI KWA WAHUJUM UCHUMI WA TAIFA LANGU
:kev:
 
unategemea misukule kwa haki ya Mungu ijibu nini?anayeifuga mwenyewe hawezi jibu,angalia alivyojibu hoja ya Lissu ya majaji vihiyo
 
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1132.jpg
First Name: Prof. Jumanne
Middle Name: Abdallah
Last Name:Maghembe
Member Type:Constituency Member
Constituent: Mwanga
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 9192, Dar es Salaam
Office Phone: +255 784 034 888/+255 786 034 888
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: jmaghembe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 1 January 1970
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
University of Dar es Salaam BSc. (Forestry)Hons.19721975GRADUATE
Agricultural University of NorwayMSc. (Forestry)19751977MASTERS DEGREE
Duke University , N.C. USAM.F(Foresty Science)19771978MASTERS DEGREE
International Centre for Research in Agroforesty (ICRAF), NairobiPost Doctoral Research1983-PHD
University of Dar Es SalaamPhD (Foresty Science)19791982PHD
Fulbright Scholar, Oregon State University, Corvalis USA-19861987CERTIFICATE
Tosamaganga Secondary SchoolA-Level Education19701971HIGH SCHOOL
Dodoma Secondary SchoolO -Level Education19661969SECONDARY
Lomwe Middle School, UsangiPrimary Education19631965PRIMARY
N.A. Primary SchoolPrimary Education19591962PRIMARY
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
Ministry of Agriculture, Food Security and CooperativesMinister2010Todate
The Parliament of TanzaniaMember - Mwanga Constituency20002015
Ministry of Education and Vocational TrainingMinister2/13/20082010
International Centre for Research in AgroforestyPrincipal Scientist 19892000
University of Idaho, USAAffiliate Professor1988Todate
Sokoine UniversityAssociate Professor19861989
University of Dar es SalaamSenior Lecturer19831985
University of Dar es SalaamLecturer19801982
University of Dar es SalaamTutorial Assistant & Assistant Lecturer19751980
Ministry of Natural Resources and TourismMinister10/17/20062/8/2008
Ministry of Labour, Employment and Youth DevelopmentMinister1/1/200610/16/2006
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position FromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of National Executive Committee 2007Todate
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of District Political Committee2000Todate
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of Regional Executive Committee 2000Todate
PUBLICATIONS
Description Date
ICRAF and Elsevier1989 - 2000
65 Papers on Foresty Ecology & Management (Elsevier), Acta Genetice Plant and Soil. Agriculture Ecosystems, Common wealth Foresty Journal, Tropical Forest Science and Nature.1980 - 2004
ICRAF and Elsevier1989 - 2000
65 Papers on Foresty Ecology & Management (Elsevier), Acta Genetice Plant and Soil. Agriculture Ecosystems, Common wealth Foresty Journal, Tropical Forest Science and Nature.1980 - 2004
ICRAF and Elsevier1989 - 2000
65 Papers on Foresty Ecology & Management (Elsevier), Acta Genetice Plant and Soil. Agriculture Ecosystems, Common wealth Foresty Journal, Tropical Forest Science and Nature.1980 - 2004
ICRAF and Elsevier1989 - 2000
65 Papers on Foresty Ecology & Management (Elsevier), Acta Genetice Plant and Soil. Agriculture Ecosystems, Common wealth Foresty Journal, Tropical Forest Science and Nature.1980 - 2004
 
The dude is so stupid..nakumbuka alipokua waziri wa elimu alienda Iringa akawaamuru wanafunzi wa shule ya kata waongee kingereza mwanafunzi alipochemka akaanza kumdharau na kumcheka..jitu limesome mambo ya mapori na miti mnampa wizara ya elimu..what a shame!
 
Sijawahi hata siku moja kuona kitu cha maana alichotekeleza Maghembe na huwa ninashangaa ni kwa nini bado yuko katika Baraza la Mawaziri.
 
Hili Prof..bwana..jimboni kwake (Mwanga) hakuna maji toka dunia iumbwe na kila siku usanii tu..what a shame..!!
 
Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amezomewa na wananchi wa mji mdogo wa Gallapo wilayani Babati wakati wa mkutano wa hadhara baada ya waziri huyo kuktaa kuulizwa maswali na wananchi kuhusu kero ya maji na mgogoro wa muda baina yao na mamlaka ya maji ya mji huo GAWASA.Baada ya maghemmbe kuktaa kuulizwa maswali na wananchi walianza kumzomea pamoja na maafisa wa serikali alioandamana nao na mkutano ulivunjika ambapo waziri huyo aliondoka huku polisi wakiwazuia watu wasimdhuru pamoja na msafara wake.

Kwa muda mrefu mji wa Gallapo umekumbwa na uhaba wa maji kwa kile kinachoelezwa kuwa mamlaka hiyo imeshindwa kuwajibika na kutegemea chanzo kimoja cha ambacho kilianzshwa na wananchi hao miaka karibu ishirini iliyopita huku idadi ya watu ikiwa tayari imeongezeka kwa asilimia 100 katika kipindi hicho.
na hicho kisima kimejengwa kwa msaada wa Jumuia ya Ulaya

 
Walikua mstali wa mbele kuzomea sera na mawazo mazuri ya wapinzani. wananchi wanawazomea wao kwakuwa pale bungeni wapo wengi. sasa huku uraiani wananchi ndo wengi wawazuie wanachi kuzomea
 
Go to hell CCM! Rest in Hell!
Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amezomewa na wananchi wa mji mdogo wa Gallapo wilayani Babati wakati wa mkutano wa hadhara baada ya waziri huyo kuktaa kuulizwa maswali na wananchi kuhusu kero ya maji na mgogoro wa muda baina yao na mamlaka ya maji ya mji huo GAWASA.Baada ya maghemmbe kuktaa kuulizwa maswali na wananchi walianza kumzomea pamoja na maafisa wa serikali alioandamana nao na mkutano ulivunjika ambapo waziri huyo aliondoka huku polisi wakiwazuia watu wasimdhuru pamoja na msafara wake.

Kwa muda mrefu mji wa Gallapo umekumbwa na uhaba wa maji kwa kile kinachoelezwa kuwa mamlaka hiyo imeshindwa kuwajibika na kutegemea chanzo kimoja cha ambacho kilianzshwa na wananchi hao miaka karibu ishirini iliyopita huku idadi ya watu ikiwa tayari imeongezeka kwa asilimia 100 katika kipindi hicho.
 
Back
Top Bottom