Melekizedeki
New Member
- Sep 13, 2016
- 1
- 0
Kuna vituko vya upimaji viwanja eneo lililokuwa na mgogoro Chasimba ambapo waziri Lukuvi alifanikiwa kutatua mgogoro huo lakini Lukuvi aliagiza ufanyike upimaji, upimaji huo ulianza march 2016:.
Mpaka sasa hata robo ya kazi haijafikiwa, kwani watendaji wa wizara wanafika kazini saa saba mchana na kuondoka saa Tisa na nusu huku wakitumia muda mwingi kukaa kwenye miti.
Hata hivyo wananchi wamechanga fedha za kugharimia upimaji huo ,ambapo wizara imetoa wataalam tu gharama zote wamebeba wananchi.
Fedha hizo zimekuwa zikitafunwa na wanakamati kwa kukopeshana na kugawana inapotokea sikukuu,wananchi wamegharimia mawe cha kushangaza wataalam hao wanaweka matope mipakani.
Wataalamu wanatumia wanakamati kuchukua hela kwa wananchi ili wasipitiwe na barabara.
Na mpaka sasa zoezi limesimama.
Mpaka sasa hata robo ya kazi haijafikiwa, kwani watendaji wa wizara wanafika kazini saa saba mchana na kuondoka saa Tisa na nusu huku wakitumia muda mwingi kukaa kwenye miti.
Hata hivyo wananchi wamechanga fedha za kugharimia upimaji huo ,ambapo wizara imetoa wataalam tu gharama zote wamebeba wananchi.
Fedha hizo zimekuwa zikitafunwa na wanakamati kwa kukopeshana na kugawana inapotokea sikukuu,wananchi wamegharimia mawe cha kushangaza wataalam hao wanaweka matope mipakani.
Wataalamu wanatumia wanakamati kuchukua hela kwa wananchi ili wasipitiwe na barabara.
Na mpaka sasa zoezi limesimama.