Huu ni mradi wa urasimishaji wa mashamba na viwanja katika Wilaya ya Muheza. Mkandarasi niMakazi Solutions. Ni katika yaliyokuwa mashamba ya Geiglizi na wawekezaji wengine wa Kizungu tanga ukoloni.
Kero baadhi
1. Mradi kutokamilika
2. Ahadi za kutoa hati zisizotekelewa
3. Malipo yasiyo na udhibiti maana hatujui tunapashwa kulipia kiasi gani na hasa kama ni halali. Ulisema viwanja visizidi 150,00. Je mashamba? Magufuli alisema wapewe bura hata eka tano. Wao wanauza...
4. Kutotenda haki katika upimaji bila kuwasikiliza wahusika
5. etc etc
Kero baadhi
1. Mradi kutokamilika
2. Ahadi za kutoa hati zisizotekelewa
3. Malipo yasiyo na udhibiti maana hatujui tunapashwa kulipia kiasi gani na hasa kama ni halali. Ulisema viwanja visizidi 150,00. Je mashamba? Magufuli alisema wapewe bura hata eka tano. Wao wanauza...
4. Kutotenda haki katika upimaji bila kuwasikiliza wahusika
5. etc etc