N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Naamini barua hii fupi ya malalamiko itafika kwako timely.
Nimekuwa nikifuatilia faili langu la kuthaminisha ardhi Halmashauri ya Kinondoni mwezi wa tatu sasa wananipiga danadana pamoja na baadhi ya wenzangu ambao tunaamini mafaili yetu yamekaa kuzidi kawaida ya muda huko wizarani kama maafisa wa Halmashauri wanavyotueleza.
Kwa sababu wewe ni jembe na hii wizara kwa miaka mitano umeitendea haki tusaidie hawa wasaidizi wako wayatoe mafaili yetu....Urasimu wa namna hii unaikosesha serikali mapato na kuondoa trust sanjari na kualika rushwa.
Nimekuwa nikifuatilia faili langu la kuthaminisha ardhi Halmashauri ya Kinondoni mwezi wa tatu sasa wananipiga danadana pamoja na baadhi ya wenzangu ambao tunaamini mafaili yetu yamekaa kuzidi kawaida ya muda huko wizarani kama maafisa wa Halmashauri wanavyotueleza.
Kwa sababu wewe ni jembe na hii wizara kwa miaka mitano umeitendea haki tusaidie hawa wasaidizi wako wayatoe mafaili yetu....Urasimu wa namna hii unaikosesha serikali mapato na kuondoa trust sanjari na kualika rushwa.