Tatizo hatuna wataalamu wala wabunifu wa mipango miji.
waliopo/walio ajiriwa na Serikali wanakula mishahara buree kabisa, hakuna ubunifu wanao ufanya, ujenzi holela kila kukicha!!
Jiji la DSM linapaswa lipanuke maeneo ya pembezoni kama vile Kibamba, kiluvya n.k lkn wapi, wataalamu wa mipango miji wapo wapo tu!
waliopo/walio ajiriwa na Serikali wanakula mishahara buree kabisa, hakuna ubunifu wanao ufanya, ujenzi holela kila kukicha!!
Jiji la DSM linapaswa lipanuke maeneo ya pembezoni kama vile Kibamba, kiluvya n.k lkn wapi, wataalamu wa mipango miji wapo wapo tu!