johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,831
Waziri wa ardhi mh Lukuvi amemkabidhi mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla mpango mpya wa ujenzi wa jiji hilo.
Lukuvi amesema ndani ya Dar es salaam itajengwa miji midogo ya kisasa 25 na kwa maana hiyo hakutakuwa na sababu watu kurundikana Upanga na Kariakoo.
Kadhalika Lukuvi amesema Jiji la Dar es salaam sasa litaendelezwa kwa kwenda juu yaani ujenzi wa maghorofa baada ya maeneo kuwa yameshajaa.
Source: ITV habari
Lukuvi amesema ndani ya Dar es salaam itajengwa miji midogo ya kisasa 25 na kwa maana hiyo hakutakuwa na sababu watu kurundikana Upanga na Kariakoo.
Kadhalika Lukuvi amesema Jiji la Dar es salaam sasa litaendelezwa kwa kwenda juu yaani ujenzi wa maghorofa baada ya maeneo kuwa yameshajaa.
Source: ITV habari