Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
- Thread starter
- #21
Mkuu wanasema hawana uwezo wa kujua nani ana uwezo nani hana, kwa hiyo inabidi wanyang'anywe wote tu.Nafunga mkono hoja. Sio wote waliopata viwanja Wana Hali nzuri ya kujenga kwa haraka.
Kuna watu Wana maviwanja mengi na hawaendelezi hao ndio wanaweza kutaifishwa. Mfanyakazi wa serikali au sekta binafsi kabahatika kupata kiwanja kilichopimwa halafu umnyanganye.
Mfano Kibada, mbweni na meneo mengine wapi watu wa kipato Cha chini.
Waziri asidhani Kama Ana uwezo wa kununua nyumba Mbezibeach labda mil 500 ni watu wachache wenye baraka za Aina hiyo.
Sijawahi tembea Dar hii bila kukuta eneo la Patel & Co. Hao ndio wasipoendeleza wanyanganywe
Sasa mimi ninachojiuliza, hao wapya watakaopewa wanajuaje wana uwezo wa kujenga kuliko wale walionyang'anywa? Ndio maana nikasema usikute ni mpango wao wa kugawana hivi viwnja kama walivyogawana nyumba za serikali!