Gitarijosenga
JF-Expert Member
- Aug 3, 2019
- 276
- 273
Waziri wa Ardhi, William Lukuvi jana amewasimamisha kazi watumishi 183 wa Wizara yake kupisha uchunguzi wa tuhuma za kuingilia mfumo wa kukadiria na kukusanya kodi ya pango la ardhi
Watumishi hao wanadaiwa kuingilia mfumo huo kinyume na taratibu na kusababisha upotevu wa mapato ya Serikali
Aidha, amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara yake kuwasilisha orodha ya majina ya Watumishi hao kwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU ili uchunguzi uanze mara moja
Hawa maafisa Ardhi vichomi sana pale Dodoma
Kyando na Njia walizidi kula hela za serikali kwa nguvu bila kuogopa kutoka kwa wananchi wanyonge ,washugulikiwe hawa, nani mwengine kashatapeliwa na hawa jamaa?
Watumishi hao wanadaiwa kuingilia mfumo huo kinyume na taratibu na kusababisha upotevu wa mapato ya Serikali
Aidha, amemtaka Katibu Mkuu wa Wizara yake kuwasilisha orodha ya majina ya Watumishi hao kwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU ili uchunguzi uanze mara moja
Hawa maafisa Ardhi vichomi sana pale Dodoma
Kyando na Njia walizidi kula hela za serikali kwa nguvu bila kuogopa kutoka kwa wananchi wanyonge ,washugulikiwe hawa, nani mwengine kashatapeliwa na hawa jamaa?