Igizo Fulani zuri sana la kuhamasisha watu kuvunja nyumba zao badala ya kujenga.Ye anavunja anazo zingine za kukaa, hao wenzake nao wanazo??
Na anavunjaje kienyeji hivyo hana hata helmet, gloves au mabuti??
Akichomwa na Msumari au akaangukiwa na Mbao atasemaje??
inafurahisha kuona trafiki wanasimamia ubomoja wa nyumba badala ya usalama barabarani.Ye anavunja anazo zingine za kukaa, hao wenzake nao wanazo??
Na anavunjaje kienyeji hivyo hana hata helmet, gloves au mabuti??
Akichomwa na Msumari au akaangukiwa na Mbao atasemaje??
Only in Tanzaniainafurahisha kuona trafiki wanasimamia ubomoja wa nyumba badala ya usalama barabarani.
Umeona mkuu yaani maigizo mengine ni aibu kubwa sana kwa viongozi wa kariba ile!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Only in Tanzania
Infact wao ndio watakaokua "KUNI" wa wenginehahahah...unajua kuna watu moto wao utakuwa mkubwa sana aiseee