Mwadilifu Mdhulumiwa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2021
- 418
- 630
Shida huwa wanaishia kuongea tu lakin hakuna ufuatiliaji!
ni Lukuvi huyuhuyu aliagiza wakurugenzi kutoa vibali vya ujenzi ndani ya wiki moja lakinmpaka sasa bado kuna usumbufu kwenye viali hivyo!
ni Lukuvi huyuhuyu aliagiza wakurugenzi kuwalipa fidia wananchi wote ambao miradi imewafuata kwenye ardhi zao , lakini hakuna utekelezaji wowote!
So wakati mwingine hata wanaoagizwa wakimsikia wanampuuza tu!
ni Lukuvi huyuhuyu aliagiza wakurugenzi kutoa vibali vya ujenzi ndani ya wiki moja lakinmpaka sasa bado kuna usumbufu kwenye viali hivyo!
ni Lukuvi huyuhuyu aliagiza wakurugenzi kuwalipa fidia wananchi wote ambao miradi imewafuata kwenye ardhi zao , lakini hakuna utekelezaji wowote!
So wakati mwingine hata wanaoagizwa wakimsikia wanampuuza tu!