1974hrs
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 741
- 535
Waziri Kangi Lugola ametoa tahadhari kwa askari watakaoshindwa kuwalaza mahabusu madereva watakaosababisha ajali.
"Ikitokea dereva yoyote amefikishwa Mahakamani bila ya kulazwa mahabusu huyo aliyekufikisha atawajibika yeye.
--
♪Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote♬
"Ikitokea dereva yoyote amefikishwa Mahakamani bila ya kulazwa mahabusu huyo aliyekufikisha atawajibika yeye.
--
♪Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote♬