Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Alishauriwa na boss wake awe anawapunguzia nyota. Kaaza kuact....kama robot vile
Mpaka vuguvugu la sifa litulie.Ukisikia kikao ni kulala hapo hapo
Dakika moja!? Inawezekana alienda hata toilet kujiweka sawa.Hakuna kitu kibaya sana kama kupunguza mshahara wa mtu kwa kuchelewa kidogo kwenye kikao
Kama yule wa mali asili na utalii, leo kimyaaaWatu wa namna hii hua wanaikanyagaga wenyewe, just soon utaona. Ogopa sana kugombana na Surbodinate wako
huwezi kunenepeana vile ukawa na reasoning ya kibusara, unaweza kukuta amefanya hayo maamuzi huku akiwaza nusu ya kipande cha parachichi aliloliacha jana kwenye jokofu.Dakika moja!? Inawezekana alienda hata toilet kujiweka sawa.
Hii inaitwa "For public consumption".Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amemfukuza kikaoni Kamishna Jenerali wa Magereza, Juma Malewa kwa kuchelewa kufika kikaoni.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, amemfukuza kikaoni Kamishna Mkuu wa Magereza, Juma Malewa kwa kuchelewa.
Lugola amemfukuza Dk Malewa leo Julai 6, saa tano asubuhi ikiwa ni dakika chache baada ya kikao hicho kuanza.
Awali, Lugola alisema ikifika saa 5 kamili, mlango ufungwe na kama alivyoagiza, ulifungwa. Ilipofika saa 5:1 mlango ulifunguliwa ili Dk Malewa aingie.
Baada ya kuingia Dk Malewa, Lugola akahoji kwa nini amefunguliwa mlango?
Licha ya Dk Malewa kuomba msamaha, Lugola alikataa kata kata. Pia Lugola ameagiza Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani, kumshusha cheo hadi kubaki na nyota tatu, mkuu wa usalama barabarani, Mbeya, Leopold Fungu.
Pia ameagiza Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto mkoa wa Kagera, George Mrutu ashushwe cheo.
Kikao hicho ni cha kimkakati cha viongozi wa vyombo na taasisi zilizopo chini ya wizara hiyo.
Ishu ni moja tu, muda ni mali basi na kuzubaa ndo utamaduni tunaotakiwa kudili nao mfano hayo ma fly overs ni katika kutackle hili tatizoHivi zile foleni tunazokuwa tunamsubiri Raisi au Makamu wake wapite tunawekwa foleni lisaa lizima hapo mnaongeleaje, au hapo muda unakuwa sawa mapapai na sio mali tena?
Na changamoto za usafiri DarHuyo anayemdhalilisha ndiye anayeenda kufanya naye kazi,Dakika moja kweli hakuna tolerance?
And crushing is inevitable!
Utajuaje mke wake alimsifia kuwa limempendeza?Kavaa ile suti yake yenye mabendera kifuani???
tunapoelekea tunaenda kuminyiana risasi live bila chenga, nipambane porini na mbung'o na mbu ili nipate hicho cheo alafu leo uje ukishushe tu kama mkeo anavyoshusha kabati au chandarua ya chumbani kwsko, labda hicho cheo kiwe kimekuja kwa njia ya DHL, otherwise siku nitakayoshika chuma na ukapitisha pua yako ubongo naumwaga.
Commissioner was magereza sio mkuu was magereza nchi nzima, Bali mkuu wake ni " kaminishina generali wa magereza- CGP"commissioner wa magereza ndie mkuu wa magereza nchi nzima? au wapo wengi ma commissioner?
Yes, power is nothing without control.This is called Speed and power without control..