Display Name
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 423
- 451
Waziri wa Mambo ya ndani, Kangi Lugola amemsimamisha kazi Mkuu wa Upelelezi wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Mbogwe, Geita.
Aidha, Waziri Lugola amemsimamisha kazi Mkaguzi wa Jeshi Wilayani humo, kwa tuhuma za kupokea rushwa
#JFLeo
Aidha, Waziri Lugola amemsimamisha kazi Mkaguzi wa Jeshi Wilayani humo, kwa tuhuma za kupokea rushwa
#JFLeo