Waziri kivuli wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi: Ya Chato Airport kama ni ya kweli nani ayaseme?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,993
144,329
Wapinza msipohoji haya anayohoji barafu wa JamiiForums kuhusu Chato Airport mnadhani nani mwingine atahoji?

Eleweni haya anayosema barafu kama ni ya kweli basi mjue yataishia mitandaoni tu na hakuna mwandishi atakaeandika kwani waandishi wetu siku hizi kwa kiasi kikubwa hufanya kazi ya ku-report tu kila kinachosemwa na wanaoandika habari za kiuchunguzi ni wachache sana.

Au mnasubiri kuyahoji/kuyaongelea haya ndani ya Bunge tu?

Nakumbuka enzi zile mlivyokua wepesi wa kuhoji mambo kupitia press conference na kwakweli mlisaidia sana watanzania kujua madhaifu yaliyokuwepo ila hii trend ya sasa ya kukaa kimya kwakweli inaondoa dhana na maana nzima ya upinzani.

Sidhani kama mtashitakiwa kwa kuhoji mambo ya aina hii as long as mtakuwa mnahoji na kusema ukweli maana hata haya anayoyasema barafu kuhusu Chato Airport sidhani kama yamewahi kukanushwa popote.

Tangu awamu hii iingie madarakani,Waziri Kivuli ambae aliwahi kuhoji/kuongelea mapungufu yaliyopo serikalini nje ya Bunge ni Waziri Kivuli wa Afya tu pale alipotoa tamko kuhosu ukosefu wa madawa nchini na mwingine ni Tundu Lissu aliehoji zuio la mikutano ya kisiasa ila wengine mnasubiri vikao vya Bunge ndio mkaongee(sijui kama tutafikia kwa style hii kwakweli).
 
Wapinzani nao ni binadamu wanachoka kutetea watu ambao hawapo tayari kutetewa, acha wakae kimya joto tulipate wote.
Assume wewe usingekuwa member hapa JamiiForums,ya Chato Airport ungeyajua?

Ni hivi,tunaweza kushinda humu JF tunajadili lakini kama wengi hawajui/hawapati huu uchambuzi,ni kazi bure tu na ndio maana siku chache zilizopita nilianzisha uzi nikihimiza viongozi wawe wana-share baadhi ya taarifa katika mitandao wanayotumia.

Watanzania wengi ni walalamikaji lakini sio wafuatiliaji wa mambo ya kisiasa.
 
Hivi hiyo Chato Airport...

Kuna ndege zipi nyingine zitakuwa zinakwenda pale ukiacha yake??

Maana sioni airport hii ikienda kuhudumia watanzania walio wengi ambao wana matumizi ya aina hii ya usafiri.
 
Assume wewe usingekuwa member hapa JamiiForums,ya Chato Airport ungeyajua?

Ni hivi,tunaweza kushinda humu JF tunajadili lakini kama wengi hawajui/hawapati huu uchambuzi,ni kazi bure tu na ndio maana siku chache zilizopita nilianzisha uzi nikihimiza viongozi wawe wana-share baadhi ya taarifa katika mitandao wanayotumia.

Watanzania wengi ni walalamikaji lakini sio wafuatiliaji wa mambo ya kisiasa.

Mkuu mimi kwanza sijui JF niliijuaje mpaka leo sijui, tatizo wananchi wengi hawatoe support kwa viongozi wa upinzani na wakati wanaopata shida ni wananchi wa hali ya chini na siyo viongozi wa upinzani. Hivyo acha tunyooshwe haswa
 
Hivi hiyo Chato Airport...

Kuna ndege zipi nyingine zitakuwa zinakwenda pale ukiacha yake??

Maana sioni airport hii ikienda kuhudumia watanzania walio wengi ambao wana matumizi ya aina hii ya usafiri.
Uelewa huu wanao watanzania wangapi?Watanzania wangapi wanajua ukubwa wa Airport inayojengwa huko Chato na gharama zake?Wapinzani wakikaa kimya athari hizi wananchi watazijuaje?Nani wa kuwafafanulia?
 
Mkuu mimi kwanza sijui JF niliijuaje mpaka leo sijui, tatizo wananchi wengi hawatoe support kwa viongozi wa upinzani na wakati wanaopata shida ni wananchi wa hali ya chini na siyo viongozi wa upinzani. Hivyo acha tunyooshwe haswa
Kipindi hiki cha watu kukosa mikopo,watu kutoajiriwa,watumishi kutoongezewa mishahara na kulipwa madai yao,ndio kipindi kizuri cha kuwaeleza watanzania ni nini kinaendelea huko serikali na kams tumeamua kukata tamaa basi tusisalalamike kwa lolote maana hata swala la kudai Tume Huru nalo tuko kimya.

Muda hautusubiri na unakwenda kasi.
 
Kipindi hiki cha watu kukosa mikopo,watu kutoajiriwa,watumishi kutoongezewa mishahara na kulipwa madai yao,ndio kipindi kizuri cha kuwaeleza watanzania ni nini kinaendelea huko serikali na kams tumeamua kukata tamaa basi tusisalalamike kwa lolote maana hata swala la kudai Tume Huru nalo tuko kimya.

Muda hautusubiri na unakwenda kasi.

Liwe fundisho na kwa wengine.
 
Wapinza msipohoji haya anayohoji barafu wa JamiiForums kuhusu Chato Airport mnadhani nani mwingine atahoji?

Eleweni haya anayosema barafu kama ni ya kweli basi mjue yataishia mitandaoni tu na hakuna mwandishi atakaeandika kwani waandishi wetu siku hizi kwa kiasi kikubwa hufanya kazi ya ku-report tu kila kinachosemwa na wanaoandika habari za kiuchunguzi ni wachache sana.

Au mnasubiri kuyahoji/kuyaongelea haya ndani ya Bunge tu?

Nakumbuka enzi zile mlivyokua wepesi wa kuhoji mambo kupitia press conference na kwakweli mlisaidia sana watanzania kujua madhaifu yaliyokuwepo ila hii trend ya sasa ya kukaa kimya kwakweli inaondoa dhana na maana nzima ya upinzani.

Sidhani kama mtashitakiwa kwa kuhoji mambo ya aina hii as long as mtakuwa mnahoji na kusema ukweli maana hata haya anayoyasema barafu kuhusu Chato Airport sidhani kama yamewahi kukanushwa popote.

Tangu awamu hii iingie madarakani,Waziri Kivuli ambae aliwahi kuhoji/kuongelea mapungufu yaliyopo serikalini nje ya Bunge ni Waziri Kivuli wa Afya tu pale alipotoa tamko kuhosu ukosefu wa madawa nchini na mwingine ni Tundu Lissu aliehoji zuio la mikutano ya kisiasa ila wengine mnasubiri vikao vya Bunge ndio mkaongee(sijui kama tutafikia kwa style hii kwakweli).

Hivi kweli upinzani kuna tatizo gani? mimi naona wapinzani, achilia mbali Lipumba kuvutwa shati na kuamua kucheza ngoma ya CCM, hawa wengine sijui wamepigwa sindano ya ganzi? maana ni kimya kabisa. BAVICHA kimya, BAWACHA ndio kabisaaaaa inachapa usingizi wa pono. mnatarajia nini? amebakia Tundu Lissu tu anatamba kwenye eneo la sheria, lakini yale maeneo ambayo Dr. Slaa alikuwa anayamiliki sana enzi hizo, kuna uwazi mkubwa sana. Mashinji ni reactive tu. nimeona hata hii hapa uliwahi kuisema:
Baada ya makato ya VAT kuanza kutozwa kwenyw vocha za simu kama inavyodaiwa na watu mbalimbali,nafikiri huu ni wakati muafaka kwako kutoka hadharani na kutolea tamko jambo hili huku ukiwaeleza /ukiwakumbusha wananchi kauli ya waziri wa fedha aliyoitoa Bungeni kuhusiana na kodi hii.

Mh.Waziri Kivuli, itaa waandishi wa habari waeleze ni nini waziri alisema Bungeni kuhusiana na kodi hii wakati alipokuwa akjibu hoja za wabunge na clip yake muisambaze mitandaoni kipindi hiki ambacho jambo hili likiwa bado liko hot ili wananchi ambao sasa wameanza kuonja machungu ya kodi hii wajue kodi hii imetoka wapi kwa wale wasiojua na zaidi wajue aina ya viongozi walionao na kisha wawapime.

Katika mkutano wako huo pia unaweza kuhoji sababu za bodi ya TRA kuvunjwa huku kila siku tunaambiwa TRA inavuka lengo.

Mbinu hizi za kisiasa ndio CHADEMA mlizitumia sana enzi zile mkiwa na Dr.Slaa ambae mbali na kuituhumu serikali hadharani kwa mambi mengi, aliweza pia kuituhumu hata ile Idara nyeti mbele ya waandishi wa habari na hivyo kukifanya chama kionekane tofauti na vyama vingine na kuchangia kuifiksha CHADEMA ilipo leo hii.

CCM ya leo inajimwagia petroli yenyewe huku nyinyi mkiwa na kazi rahisi tu ya kutafuta kiberiti na kuilipua iteketee na ibaki historia tu.

Wapinzani, mnataka mungu awape nini?!

kwa kweli ni hatari sana. Mbowe ! WAKE UP!!!!
 
Msaidizi Ben saa8 akiwepo wanaweza
Enzi zile CHADEMA walikuwa wachache sana lakini walikuwa tishio. sasa hivi wapo wengi bungeni ndio kabisaa imekuwa kimyaaaa. kila mtu anawaza nini sijui
 
Hivi kweli upinzani kuna tatizo gani? mimi naona wapinzani, achilia mbali Lipumba kuvutwa shati na kuamua kucheza ngoma ya CCM, hawa wengine sijui wamepigwa sindano ya ganzi? maana ni kimya kabisa. BAVICHA kimya, BAWACHA ndio kabisaaaaa inachapa usingizi wa pono. mnatarajia nini? amebakia Tundu Lissu tu anatamba kwenye eneo la sheria, lakini yale maeneo ambayo Dr. Slaa alikuwa anayamiliki sana enzi hizo, kuna uwazi mkubwa sana. Mashinji ni reactive tu. nimeona hata hii hapa uliwahi kuisema:


kwa kweli ni hatari sana. Mbowe ! WAKE UP!!!!
Kwakweli kwa sasa wanalegalega sana mpaka wanakera.
 
Wapinza msipohoji haya anayohoji barafu wa JamiiForums kuhusu Chato Airport mnadhani nani mwingine atahoji?

Eleweni haya anayosema barafu kama ni ya kweli basi mjue yataishia mitandaoni tu na hakuna mwandishi atakaeandika kwani waandishi wetu siku hizi kwa kiasi kikubwa hufanya kazi ya ku-report tu kila kinachosemwa na wanaoandika habari za kiuchunguzi ni wachache sana.

Au mnasubiri kuyahoji/kuyaongelea haya ndani ya Bunge tu?

Nakumbuka enzi zile mlivyokua wepesi wa kuhoji mambo kupitia press conference na kwakweli mlisaidia sana watanzania kujua madhaifu yaliyokuwepo ila hii trend ya sasa ya kukaa kimya kwakweli inaondoa dhana na maana nzima ya upinzani.

Sidhani kama mtashitakiwa kwa kuhoji mambo ya aina hii as long as mtakuwa mnahoji na kusema ukweli maana hata haya anayoyasema barafu kuhusu Chato Airport sidhani kama yamewahi kukanushwa popote.

Tangu awamu hii iingie madarakani,Waziri Kivuli ambae aliwahi kuhoji/kuongelea mapungufu yaliyopo serikalini nje ya Bunge ni Waziri Kivuli wa Afya tu pale alipotoa tamko kuhosu ukosefu wa madawa nchini na mwingine ni Tundu Lissu aliehoji zuio la mikutano ya kisiasa ila wengine mnasubiri vikao vya Bunge ndio mkaongee(sijui kama tutafikia kwa style hii kwakweli).
Wapinzan kwa sasa wanaangalia matumbo yao tu hakuna tofauti na wa chama tawala halafu wanatuhubiria mabadiliko sijui mabadiliko ya nini sijui mabadiliko gan wanayoyahubiri wakati masuala yenye maslahi kwa taifa hawayapigii kelele na kuyasimamia kwa niaba ya watz

Swiss u
 
Mimi naungana na wapinzani, wameshauri sana, wametetea vya kutosha, kama ni elimu ya uraia wametoa ya kutosha acha sasa wajenge vyama vyao kwanza, hujasikia siasa hadi 2020, tukutane bungeni.

After all using'ang'anie mbinu moja tuuu hata kama hailipi, try different approach.

UKAWA badilisheni mbinu za ku 'win' kisiasa, iacheni serikali ijikosoe yenyewe

CHADEMA sasa mmekomaa, walivyotegemea sivyo
Hili hata mimi niliwahi kulifikiria, hasa baada ya kubadilisha gia kuhusu UKUTA. niliona kwamba ni kweli kuwa Serikali inajikaanga yenyewe. lakini ipo haja kupigilia msumari. maana kama kuna maamuzi yenye utata yamefanyika, mawaziri kivuli wayatolee tamko. hiyo ni kazi ya upinzani. itaongezea pale kwenye kujikaanga kwa serikali
 
Back
Top Bottom