Huyu WK ameshaona kunakoelekewa ni kugumu na kwa vile anajijua alipotokea ndio imebidi aanze kushuka ngazi na mapema.
mwiba
kwa nn ajishushe hadhi?akimaliza muda wake huduma muhimu zote bure mpaka kufa kwake.mie naona anajisumbua tu,atulie tu kama wenzake.
Na asijaribu kutafuta umaarufu kupitia Baraza la Manispaa, ana mengi ya kufanya katika jimbo lake kwanza...Msimuonee WK, ni waziri kijana ambaye hajaonyesha kiburi chochote katika siasa.He is un assuming and anachukia controversies.