Waziri Kingwangwalla, mbona January imefika na kampuni ya waarabu bado wapo Loliondo?

junky

JF-Expert Member
May 11, 2017
413
976
Wana JF

Miezi kadhaa Nyuma waziri aliyeteuliwa wizara ya Mali asili na utalii Mh Kingwangwala aliingia kwa kasi sana nakumbuka mwezi September au November mwanzoni alitoa agizo na amri kampuni inayomilikiwa na wadubai huko Loliondo ifunge virago vyao na waondoke kabla ya January.

Kiukweli agizo hili liliwafurahisha wengi na alipata sifa kedekede kuwa kiongozi shupavu lakini Jana nimepita mitaa ya Loliondo nimeona wale majamaa hawajafunga virago vyao na kuondoka na tayari tunaelekea katikati ya January saizi


Je kampuni hii imekaidi amri ya Mh Kingwangwala au Mh alikurupuka kupata mass attention

Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018
 
yaani mkuu wewe na weledi wako wote huo wakufikiri
umekaa kitako ukisubiri kuona matamko ya kigwagwala yakifanya kazi wakati kampuni hizo hazijaota tu kama UYOGA mpaka zinaendesha shughuli zao zakiuchumi kuna mikataba ambayo serikali na wao waliingia

baba yao mwenyew kutwa kucha anawalisha matango pori wananchi tuliambiwa kuwa ACCACIA NIWEZI hata usajili hawajafanyiwa lakini ndio kwanza bado wanapiga mzigo

hayo yliyojiri hayajakutosha tu mkuu nakukuwezesha kutambua kuwa nchi inawaongozwa na wauza chai
 
Wana JF

Miezi kadhaa Nyuma waziri aliyeteuliwa wizara ya Mali asili na utalii Mh Kingwangwala aliingia kwa kasi sana nakumbuka mwezi September au November mwanzoni alitoa agizo na amri kampuni inayomilikiwa na wadubai huko Loliondo ifunge virago vyao na waondoke kabla ya January.

Kiukweli agizo hili liliwafurahisha wengi na alipata sifa kedekede kuwa kiongozi shupavu lakini Jana nimepita mitaa ya Loliondo nimeona wale majamaa hawajafunga virago vyao na kuondoka na tayari tunaelekea katikati ya January saizi


Je kampuni hii imekaidi amri ya Mh Kingwangwala au Mh alikurupuka kupata mass attention

Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018
Mtoa jada uwe unafuatilia habari kikamilifu. Baada ya tamko la Waziri Kigwangala kuhusu kampuni ya OBC kufungashwa virago, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alienda kule Loliondo

Taarifa iliyotolewa baada ya ziara ya Waziri Mkuu ni kwamba, alifanikiwa kuumaliza mgogoro wa Loliondo uliokuwa umedumu kwa zaidi ya miongo miwili kati ya mwekezaji huyo na wananchi wa eneo hilo.

Kwa maana hiyo OBC haiondoki kama Waziri Kigwangala alivyotamka. Kumbuka kila mtu hujikuna pale mkono wake unapoishia.
 
Mtoa jada uwe unafuatilia habari kikamilifu. Baada ya tamko la Waziri Kigwangala kuhusu kampuni ya OBC kufungashwa virago, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alienda kule Loliondo

Taarifa iliyotolewa baada ya ziara ya Waziri Mkuu ni kwamba, alifanikiwa kuumaliza mgogoro wa Loliondo uliokuwa umedumu kwa zaidi ya miongo miwili kati ya mwekezaji huyo na wananchi wa eneo hilo.

Kwa maana hiyo OBC haiondoki kama Waziri Kigwangala alivyotamka. Kumbuka kila mtu hujikuna pale mkono wake unapoishia.
Kwahiyo huyu waziri ni mkurupukaji
 
Baada ya kuingia kati na kuanza kuicheza ngoma amegundua kua kumbe sio rahisi kama inavyoonekana ukiwa nje
 
Hapo kuna kampuni nyingi za uwindaji ila hawa waarabu wanajeuri saana.

Thomson, Normad na Dorobo kidogo wanaiheshimu jamii inayoishi pale. Au tatizo ni nature ya mkataba?
 
Kama wanashindwa kutekeleza matamko yao ni heri wangekuwa wanafunga midomo yao... kuliko kuwafariji wananchi kwa maneno bila vitendo...
 
Kufanya kazi kwa mihemko ya kisiasa haiwezi kuleta matokeo chanya kwa kile ukifanyacho.
 
Wana JF

Miezi kadhaa Nyuma waziri aliyeteuliwa wizara ya Mali asili na utalii Mh Kingwangwala aliingia kwa kasi sana nakumbuka mwezi September au November mwanzoni alitoa agizo na amri kampuni inayomilikiwa na wadubai huko Loliondo ifunge virago vyao na waondoke kabla ya January.

Kiukweli agizo hili liliwafurahisha wengi na alipata sifa kedekede kuwa kiongozi shupavu lakini Jana nimepita mitaa ya Loliondo nimeona wale majamaa hawajafunga virago vyao na kuondoka na tayari tunaelekea katikati ya January saizi


Je kampuni hii imekaidi amri ya Mh Kingwangwala au Mh alikurupuka kupata mass attention

Waziri Kigwangalla aagiza kampuni ya Uwindaji ya OBC ya Loliondo kurudi walikotokea kabla ya Januari 2018
ni dhahiri alikurupuka mikataba haivunjwi hovyo mnataka wakamate mlima kilimanjaro kufidia gharama zao
 
Hapo kuna kampuni nyingi za uwindaji ila hawa waarabu wanajeuri saana.

Thomson, Normad na Dorobo kidogo wanaiheshimu jamii inayoishi pale. Au tatizo ni nature ya mkataba?

The problem, besides the contract over the heads of the villages, is that for years OBC have kept lobbying for the alienation of a 1,500 km2 of important grazing land.

In 2009, together with the FFU, they were involved in brutal and very illegal evictions of the Maasai landowners.

In 2010-2011 they funded a district land use plan that proposed turning the 1,500 km2 that serve as their core hunting area into a “protected area”, so that the brutality of 2009 could be repeated in a “legal” way. This land use plan was rejected by the district council.

In 2013 Kagasheki tried to give OBC what they wanted via shameless lies that more than the whole of Loliondo in some mysterious way had turned into a protected area, and that the “landless” people would by “given” the land outside the 1,500 km2. These lies were stopped by Pinda in September the same year.

Loliondo has been like a police state for many years, and anyone who dares to speak up is threatened and called a “Kenyan”. In 2016 this got much worse with illegal arrests and malicious prosecution to silence everyone, and many were silenced.

In late 2016, OBC sent out a “report” about how “destructive” the Maasai are, endangering the environment and the hunting business. Majaliwa decided to “solve the conflict”, and Arusha RC Gambo set up a select committee that presented a compromise proposal to Majaliwa on 20th April 2017. Maghembe aggressively lobbied for the 1,500 km2 “protected area”.

While everyone was still waiting for Majaliwa’s decision, on 13th August 2017, village land per Village Land Act No.5 of 1999 was illegally invaded by Serengeti and NCA rangers, assisted by local police, and OBC and KDU rangers, that burned down hundreds of bomas, committed crimes like rape and beatings, illegally arrested herders and seized cattle, and blocked access to water.

The illegal operation wasn’t stopped until 26th October when Kigwangalla had become minister of natural resources and tourism.

Sensationally, Kigwangalla also announced that OBC would have left before January 2018, and would never be given another hunting block. He said that OBC’s director, Isaack Mollel would be investigated for corruption. This was logical after having seen the destructive syndicate at the service of these hunters, but somewhat naïve, since so many years with such bad behaviour clearly shows that OBC have powerful friends.

OBC didn’t show any signs whatsoever of packing.

On 6th December 2017 Majaliwa announced his decision that was a big disappointment. Instead of respecting the village land he had decided that a legal bill would be prepared to set up a “special authority” to manage the land. What this means is very unclear.

Majaliwa also said that OBC would stay, but that Mollel would be removed as the director.

So far Mollel continues as the director…


The other companies you mention aren’t involved in hunting, but that doesn’t mean that they are more respectful of local people’s land rights.

Thomson Safaris have the same friends as OBC and very aggressively, with thousands of dollars on lawyers, online reputation management, “charity”, and whatever, claim ownership of 12,617 acres that they bought from TBL that cultivated some barley for a few years in the 80s and then got a certificate of occupancy in a very irregular way in 2003. For years Thomson, together with the police were harassing, arresting and beating the legitimate landowners for trespassing. Apparently, they have stopped that now (though people are also too intimidated to report what’s going on), but they still claim ownership. As far as I know, a case is still in the court of appeal.

Buffalo Luxury Camp, now called Taaasa Lodge, in the same way, but less aggressively (sometimes saying that they will return the land) and of a smaller area (60 acres) claim to be landowners. They are currently involved in some strange behaviour that I need to find out more about.

AndBeyond/Klein’s Camp have a contract with the village of Ololosokwan, and are not currently claiming to own land, but aren’t unproblematic.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom