Magufuli aliwaburuza akiwa hai na sasa naendelea kuwaburuza akiwa mauti kenge nyinyi.Waziri tunahitaji ripoti yetu.
Tarehe kumbe ilikuwa sawa na tarehe ya kifo cha Mwendazake!Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.
Pia soma
Graduate wa Moshi university of co operative na Master's ya Business na management na post graduate Diploma ya Leadership ni mjinga? Na kama ni mwerevu ni nani?Un educated person akawa mkuu wa mkoa haya yanatokea Tanzania tu chini ya ccm
Kwakuwa yupo dolani ataleta jibuIle ripoti ya Nape ilifanyiwa kazi?
Nape karudi ofsini, hebu tuone kinachojiriHapana ripoti ilimng'oa Nape kwa sababu alikua kimbele mbele sana,hivyo aliiacha ofisini😆😆😆
Hata uandike kitabu kizima kumsifia Makonda, atabaki ni mburula tu ambaye hakuna anachojuwa. Empty brain.Graduate wa Moshi university of co operative na Master's ya Business na management na post graduate Diploma ya Leadership ni mjinga? Na kama ni mwerevu ni nani?
Mmeaminishwa ujinga na kwa ujinga wenu mmekubali.
Tatizo la Makonda ni kuunga unga elimu yake mpaka anafika chuo kikuu.
Kuunga unga primary, secondary, Diploma ya Bagamoyo kabla haja enda chuo kikuu.
Kuunga unga elimu haimaanishi kuwa wewe hakusoma.
President wa wanafunzi wa vyuoni vikuu vyote vya Tanzania hakusoma?
Kugombea uongozi vyoo vikuu moja ya sifa ni kufanya vizuri Darasani. Jee wanafunzi zaidi ya elfu ishirini wa vyuoni alivyo soma wote ni wajinga?
Kama Rais wao ni mjinga basi tuseme nini kuhusu wanafunzi wengine walio soma pamoja?
Kulipa kisasi cha nini sasa?Je huyo waziri ndio kazi yake kuanza kulipa visasi?
Tz ya usanii.Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt. Ashatu Kijaji, amesema wizara inasubiri ripoti ya tume iliyoundwa kuchunguza tukio la aliyewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, kuvamia kituo cha utangazaji cha Clouds mwezi Machi 2017.
Pia soma
Hakuna cha kusoma hapa! Ukijua kupiga tu domo na kusifia sifia utawala unaweza kujikuta VP kesho. Msukuma, Tale wana elimu gani?Graduate wa Moshi university of co operative na Master's ya Business na management na post graduate Diploma ya Leadership ni mjinga? Na kama ni mwerevu ni nani?
Mmeaminishwa ujinga na kwa ujinga wenu mmekubali.
Tatizo la Makonda ni kuunga unga elimu yake mpaka anafika chuo kikuu.
Kuunga unga primary, secondary, Diploma ya Bagamoyo kabla haja enda chuo kikuu.
Kuunga unga elimu haimaanishi kuwa wewe hakusoma.
President wa wanafunzi wa vyuoni vikuu vyote vya Tanzania hakusoma?
Kugombea uongozi vyoo vikuu moja ya sifa ni kufanya vizuri Darasani. Jee wanafunzi zaidi ya elfu ishirini wa vyuoni alivyo soma wote ni wajinga?
Kama Rais wao ni mjinga basi tuseme nini kuhusu wanafunzi wengine walio soma pamoja?
Kuna kitu kinaitwa KARMA bwashee!Je huyo waziri ndio kazi yake kuanza kulipa visasi?
Ndio maaana ccm wanaongoza watu wasiojielewa ndio maaana wanakula kwa urefu wa kamba zao wala hawana hofu ni zama za visasiKuna kitu kinaitwa KARMA bwashee!