Waziri Kigwangalla asema amemaliza mgogoro na Katibu Mkuu wa Wizara yake

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2010
4,762
4,576
Muda mfupi baada ya Rais John Magufuli kutoa siku tano kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof Adolf Mkenda kumaliza tofauti zao vinginevyo atatengua uteuzi wao, Dkt Kigwangalla amesema haya: “Tulimaliza tofauti zetu, sasa hali ni shwari."
kig.png
 
Habari za kuumalizia mwaka Wa kalenda enyi Wananzengo..

Leo Rais Wa JMT amewapa siku tano viongozi wateule katika wizara ya maliasili na utalii wamalize tofauti zao la sivyo atatengua uteuzi wao haraka.
Kwa anaefahamu kinachowagombanisha tafadhali hebu mwaga ubuyu tuumung'unye tukielekea kumaliza mwaka.

#mbea mpya kitaani
IMG-20191231-WA0014.jpeg
IMG-20191231-WA0013.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilahisi hivo,si kweli hata kidogo,mh rais lazima afanye uhamzi wa kumuondoa mmojawapo,kutwambia amemalizana na katibu wake sio kweli.Rais ana vyombo vya kujua atmosphere ya wizara yenu
 
Muda mfupi baada ya Rais John Magufuli kutoa siku tano kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangalla na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof Adolf Mkenda kumaliza tofauti zao vinginevyo atatengua uteuzi wao, Dkt Kigwangalla amesema haya: “Tulimaliza tofauti zetu, sasa hali ni shwari."View attachment 1308537

Kirahisi namna hiyo?

Kinachotakiwa ni rais aweke sawa majukumu na mipaka ya kila mmoja kisheria sio lazima ukifanya kazi na mtu umpende!

Rais analazimisha watu wapendane which is not correct

Anaesimamia kazi zake kwa mujibu wa sheria afanye hakuna kupendana!

Kufanya kazi na mtu sio lazima umpende!

Hapa kuna miingiliano ya majukumu,hawajui mwanzo na mwisho wa madaraka yao binafsi na hili ni kosa la aliowapa kazi pia

Fvck em all
 
Habari za kuumalizia mwaka Wa kalenda enyi Wananzengo..

Leo Rais Wa JMT amewapa siku tano viongozi wateule katika wizara ya maliasili na utalii wamalize tofauti zao la sivyo atatengua uteuzi wao haraka.
Kwa anaefahamu kinachowagombanisha tafadhali hebu mwaga ubuyu tuumung'unye tukielekea kumaliza mwaka.

#mbea mpya kitaani
View attachment 1308538View attachment 1308539

Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana kuna Mwanamke mmoja bomba kweli pale Wizarani!
 
Back
Top Bottom