kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
kwenye majumusiho ya bajeti ya viwanda na biashara, waziri kigoda , nimemwona akitoa majumuisho ametetea wawekezaji waliobinafishiwa, kuwa viwanda vya korosho tanzania vimeshindwa kuendelezwa kwa sababu ya mitaji midogo na tekinolojia kubadilika.swali, je wakati wa kubinafisha, serikali haikuwa na uchambuzi wa mwekezaji kama ana uwezo wa mtaji?ikumbukwe karibu 3/4 ya viwanda vya korosho, vimebinsfishwa kwa wawekezaji wa ndani , na miongoni mwao ni vigogo kama mke wa BEN MKAPA, je hoja hii ya mitaji midogo ina mashiko?