MASAMBI
Member
- Feb 4, 2011
- 19
- 3
Baada ya kukawia kufika chuoni leo kama alivyo ahidi angfika saa 5,amefika saa sita na saa saba akaelekea viwanja vya chuo kikuu kutimiza ahadi ya kuja kuwasikiliza wanafunzi,waziri leo amejiondokea chini ya ulinzi wa polisi na usalama wa taifa baada ya kushindwa kujibu hoja za wanafunzi akitoa majibu mepesi huku akizomewa muda wote. Ameambulia walichokipanda ccm kujaribu kuingiza siasa ktk maisha ya watu hasa sekta mama ya elimu. Baada ya kuondoka chuoni muda dakika tano nyuma vijaa wa said mwema wakapinga mabomu ya machozi na risasa bandia lakini solidaruty la vijana bado linaendelea.kuna kila dalili chuo kufungwa, amani iko nusunusu hakuna mwanafunzi kutoka nje hasa wale wa mabibo......tutazidi kujulishana