Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hivi huyu waziri ambaye ni AL-HAJI naye ana bendi ya Muziki?
ama kweli usilolijua litakusumbua
ama kweli usilolijua litakusumbua
Sina uhakika kama ana bendi, nijuavyo hiyo picha ilipigwa kwenye hafla moja pale Dom
Sina uhakika kama ana bendi, nijuavyo hiyo picha ilipigwa kwenye hafla moja pale Dom
anayo bendi ya muziki huyu Alhaji kapuya inaitwa AKUDO BAND na style yao ya kucheza inaitwa baiskeli..sasa tatizo si kuwa waziri ana bendi la hasha bali swali langu ni je inaruhusiwa kwa AL HAJI kuwa na bendi?
anayo bendi ya muziki huyu Alhaji kapuya inaitwa AKUDO BAND na style yao ya kucheza inaitwa baiskeli..
Hivi huyu waziri ambaye ni AL-HAJI naye ana bendi ya Muziki?
ama kweli usilolijua litakusumbua
Nadhani current style yao inaitwa 'pekecha pekecha' na hawa vijana kwa sasa mambo yao iko juu kuliko Twanga na Ngwasuma, si unajua hizi bendi zinatesa kwa msimu?
Mmmmh hii pekecha pekecha ndio ikoje nimetoka kapa hapo...
Mmmmh hii pekecha pekecha ndio ikoje nimetoka kapa hapo...
Wewe ndo umejaa udini. Kwa nini ikuume kama si mdini? Umejuwaje kama wazo lake ni hilo?acheni udini waislamu wakijibu mnapiga kelele, pekecha mauno haijalishi ni Alhaj, Ustaadh au hajat mbona hukusema sister padri au kasisi na ndio kutwa wanaimba ndombolo ya yesu
Peleka mada hii kwenye dini/imani huko utapata majibu yako. Hapa kinachozungumziwa ni Vibweka vya Wakubwa.JF ni kutoa uwazi na ukweli, tatizo si kueleza nisemacho mimi ni jinsi watu walivyochangia. haikuishia kwa kapuya na u alhaj wake watu wamefikia hadi kwa ustaadh na hujat hii moja kwa moja ni uukashifu uislam ndio maana nikauliza mbona haikutajwa padri au sister ili watu wajue mchangiaji alikuwa ni kurekebisha umma wote