Teh ningekuwa karibu ningekujaUje twende wote
Ngoja wavute wametaka wenyeweMheshimiwa Kangi Lugola, heshima yako kiongozi. Mimi ni mkazi wa Kigamboni eneo la vijibweni.
Nina jambo moja tu, tuna tatizo la wavuta bangi uwanja wa mpira unaojulikana kama uwanja wa kwa Mhindi. Kila siku jioni vijana zaidi ya 60 hukutana hapo na kuvuta bangi pamoja na kuuza.
Tumeripoti kituo cha polisi Vijibweni lakini hakuna walichofanya. Mkichelewa wananchi wamepanga kuchukua hatua wenyewe maana tunaibiwa na tunavuta moshi wa bangi kila siku jioni.
Naomba ulifanyie kazi maana kituo cha polisi vijibweni kimeshindwa.
Bangi inatuathiri mheshimiwa.
Natamani ujumbe ufike kwa mkuu wa nchi labda tatizo hili litaisha
Acha usnitch mkuu sa tukikamatwa na hao policcm utafaidika nini? Fata mambo yako jioni lazima mwenge uwake kama kawaida.
Kumbe pia wewe ni mvutaji bagi, ila mbaya zaidi wewe unavuta moshi wa bangi kila siku jioni.
NB:
Ujumbe wako ni mzuri ila sijui kama kuna kitakacho endelea. Hivi ulishawahi ona bangi zinazokamatwa na kupelekwa vituo vya polisi zikichomwa moto? Nafikiri zinatumiwa na -------
Kiukweli kigamboni ya sasa inatisha baada ya hawa vijana wa kurasini kulipwa pesa za upanuzi wa bandari na kuhamia upande wa Kigamboni.
Yaani ni juzi tu jirani yangu mwanachuo kapigwa kisu nchi nne chini ya bega na kimchinjo shingoni kisa smartphone ya kichina.
Wakabaji wanaodhurura na pikipiki kuvuzia mtu aliye pekeake wamkabe yameongezeka sana toka hao vijana wa TEMEKE wahamie huku.
Aseee mi sio dada tuheshmiane km huna uhakika na jinsia ya mtu kausha la sivyo utakuta una WALI MANYU bila KYSawa dada sinide nimewaambia mnavuta sigara sio bangi
Nyie kufeni tu! Serikali iko bize kumwimbia magufuli nyimbo za sifa!Kiukweli kigamboni ya sasa inatisha baada ya hawa vijana wa kurasini kulipwa pesa za upanuzi wa bandari na kuhamia upande wa Kigamboni.
Yaani ni juzi tu jirani yangu mwanachuo kapigwa kisu nchi nne chini ya bega na kimchinjo shingoni kisa smartphone ya kichina.
Wakabaji wanaodhurura na pikipiki kuvuzia mtu aliye pekeake wamkabe yameongezeka sana toka hao vijana wa TEMEKE wahamie huku.
Hivi umbea unakusaidia nn.? Ngada nivute mm.Mheshimiwa Kangi Lugola, heshima yako kiongozi. Mimi ni mkazi wa Kigamboni eneo la vijibweni.
Nina jambo moja tu, tuna tatizo la wavuta bangi uwanja wa mpira unaojulikana kama uwanja wa kwa Mhindi. Kila siku jioni vijana zaidi ya 60 hukutana hapo na kuvuta bangi pamoja na kuuza.
Tumeripoti kituo cha polisi Vijibweni lakini hakuna walichofanya. Mkichelewa wananchi wamepanga kuchukua hatua wenyewe maana tunaibiwa na tunavuta moshi wa bangi kila siku jioni.
Naomba ulifanyie kazi maana kituo cha polisi vijibweni kimeshindwa.
Bangi inatuathiri mheshimiwa.
Natamani ujumbe ufike kwa mkuu wa nchi labda tatizo hili litaisha