johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,833
- 141,752
Waziri wa ujenzi na uchukuzi mh Kamwelwe amesema serikali imetuma wanasheria nchini Afrika kusini kushughulikia ndege ya Atcl iliyokamatwa kwa amri ya mahakama.
Waziri amesema Jana walikuwa na vikao had I usiku wa manane na Leo asubuhi waliendelea na hatimaye kuamua kutuma wanasheria kufuatilia tujue tatizo.
Mh Kamwele amesisitiza kuwa Mahakama ni muhimili mwingine hivyo asingependa kuzungumzia zaidi swala hill had I wabobezi hao wa sheria watakapoleta taarifa
Waziri alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na mtangazaji wa habari was ITV.
Source ITV habari!
Waziri amesema Jana walikuwa na vikao had I usiku wa manane na Leo asubuhi waliendelea na hatimaye kuamua kutuma wanasheria kufuatilia tujue tatizo.
Mh Kamwele amesisitiza kuwa Mahakama ni muhimili mwingine hivyo asingependa kuzungumzia zaidi swala hill had I wabobezi hao wa sheria watakapoleta taarifa
Waziri alikuwa akihojiwa kwa njia ya simu na mtangazaji wa habari was ITV.
Source ITV habari!