Waziri Kalemani msaidie meneja wa TANESCO Mkoa wa Iringa

moe junior

JF-Expert Member
Mar 7, 2014
894
853
Salaam! Nikiwa Ni mmoja wa wahanga wa kusotea huduma ya umeme katika halmashauri ya manispaa IRINGA kata ya IGUMBILO, Ni wazi kwamba Meneja wa TANESCO kazi imemshinda. Mteja analipia huduma, TANESCO wanakuja kukagua na kutoa control namba ya kulipia lakini baada ya kuwapa pesa tu mteja atasubiri kwa kipindi kisichopungua miezi mitatu unless ukawa na mkono mrefu.

Ntatoa mfano, Mimi Nyumba yangu ipo Mita chache sanna kutoka katika nguzo ya umeme kiasi ambacho huhitaji kuwa na nguzo ya ziada lakini Ni mwezi wa pili TANESCO hawajaunganisha Umeme na ukiwauliza majibu yao ni kwamba Kuna matatizo katika mfumo. Mfumo upi? Hawana majibu.

Waziri wa Nishati Msaidie huyu Meneja, kazi imemuelemea. Hii sio hisani ni haki ya mteja baada ya kukamilisha malipo na taratibu nyingine. Huyu meneja anakutukanisha na Wananchi huku.
 
Hizi ni kazi za kiufundi mkuu, hivyo subira inahitajika, wanaojitaji huduma sio wewe tu wapo wengi, changamoto zilizopo Tanesco mafundi ni wachache, unakuta Wilaya nzima ina mafundi nane, na technician mmoja, na wanaohitaji kuunganishiwa umeme ni wengi na wamelipia.

Ndio maana lazima usubiri hiyo miezi mitatu, lakini pia haya ni mambo ya kitaalum, hawakurupuki tu hapana, sasa ukiambiwa mambo hayajakaa sawa inakupasa uamini sio kusema wakufafanulie ni mambo gani hayo!! Menenja wa Tanesco na majukumu mengi ya kufanya sio tu kuunganishia watu umeme, hivyo hiyo sababu yako ni ndogo sana kusema aondolewe kazini!

Hizi kazi za kitaalam mkuu sio za kisiasa kwamba zitaendeshwa kisiasa hapana!! Nafikiri umenielewa, endelea kusubiri vingenevyo mwambie rais Mama samia suluhu kutoa ajira kwa wingi ili kurahisisha ufanisi wa kazi Tanesco.
 
Swala la urasimu kwa Tanzania n la kudumu yaani huwez kupata huduma kwa sku moja hata kama inawezekana ..kuna kaz kubwa sana ya reformation katika utumishi shda n kwamba wengi wanapata kazi kwa kujuana unakuta meneja wa iringa n ndg yake mtu fulani wa serikalin ...n sheeeeda
 
Hizi ni kazi za kiufundi mkuu, hivyo subira inahitajika, wanaojitaji huduma sio wewe tu wapo wengi, changamoto zilizopo Tanesco mafundi ni wachache, unakuta Wilaya nzima ina mafundi nane, na technician mmoja, na wanaohitaji kuunganishiwa umeme ni wengi na wamelipia.

Ndio maana lazima usubiri hiyo miezi mitatu, lakini pia haya ni mambo ya kitaalum, hawakurupuki tu hapana, sasa ukiambiwa mambo hayajakaa sawa inakupasa uamini sio kusema wakufafanulie ni mambo gani hayo!! Menenja wa Tanesco na majukumu mengi ya kufanya sio tu kuunganishia watu umeme, hivyo hiyo sababu yako ni ndogo sana kusema aondolewe kazini!

Hizi kazi za kitaalam mkuu sio za kisiasa kwamba zitaendeshwa kisiasa hapana!! Nafikiri umenielewa, endelea kusubiri vingenevyo mwambie rais Mama samia suluhu kutoa ajira kwa wingi ili kurahisisha ufanisi wa kazi Tanesco.
Mkuu mi sijaona pahala mlalamikaji amesema aondolewe kazini. Rudia kusoma Tena na Tena. Kama tatizo kweli lipo Basi asaidiwe kama alivyoshauri huyo mteja na kusaidiwa kupo kwa Aina nyingi aidha kuongezewa staffs, vitendea kazi n.k. kwanini umekimbilia kufukuzwa kwa Meneja? Kama sio muhusika hapo TANESCO Basi umeendeshwa na hisia au ume "time travel" Yan umeishi Kesho. Soma upya
 
Salaam! Nikiwa Ni mmoja wa wahanga wa kusotea huduma ya umeme katika halmashauri ya manispaa IRINGA kata ya IGUMBILO, Ni wazi kwamba Meneja wa TANESCO kazi imemshinda. Mteja analipia huduma, TANESCO wanakuja kukagua na kutoa control namba ya kulipia lakini baada ya kuwapa pesa tu mteja atasubiri kwa kipindi kisichopungua miezi mitatu unless ukawa na mkono mrefu.

Ntatoa mfano, Mimi Nyumba yangu ipo Mita chache sanna kutoka katika nguzo ya umeme kiasi ambacho huhitaji kuwa na nguzo ya ziada lakini Ni mwezi wa pili TANESCO hawajaunganisha Umeme na ukiwauliza majibu yao ni kwamba Kuna matatizo katika mfumo. Mfumo upi? Hawana majibu.

Waziri wa Nishati Msaidie huyu Meneja, kazi imemuelemea. Hii sio hisani ni haki ya mteja baada ya kukamilisha malipo na taratibu nyingine. Huyu meneja anakutukanisha na Wananchi huku.
Bora ungeweka wazi kabisa kuwa uliambiwa kuwa usubiri maana vifaa vya kufunga service line yako havipo.
Haiingii akilini kuwa tatizo ni mtandao.
Miezi miwili mtandao hakuna!
Too low!
 
Hizi ni kazi za kiufundi mkuu, hivyo subira inahitajika, wanaojitaji huduma sio wewe tu wapo wengi, changamoto zilizopo Tanesco mafundi ni wachache, unakuta Wilaya nzima ina mafundi nane, na technician mmoja, na wanaohitaji kuunganishiwa umeme ni wengi na wamelipia.

Ndio maana lazima usubiri hiyo miezi mitatu, lakini pia haya ni mambo ya kitaalum, hawakurupuki tu hapana, sasa ukiambiwa mambo hayajakaa sawa inakupasa uamini sio kusema wakufafanulie ni mambo gani hayo!! Menenja wa Tanesco na majukumu mengi ya kufanya sio tu kuunganishia watu umeme, hivyo hiyo sababu yako ni ndogo sana kusema aondolewe kazini!

Hizi kazi za kitaalam mkuu sio za kisiasa kwamba zitaendeshwa kisiasa hapana!! Nafikiri umenielewa, endelea kusubiri vingenevyo mwambie rais Mama samia suluhu kutoa ajira kwa wingi ili kurahisisha ufanisi wa kazi Tanesco.
nimecheka sana
 
Sometimes huwa Kuna uhaba wa vifaa Kama vile ukienda hospital unaambiwa hakuna dawa flani au kipimo flani mashine imeharibika sio kwamba hao wahudumu Ni wabaya ila mfumo wa serekali is like chain kwa hiyo kuwa na subra
 
Miezi miwili unalalamika?
Hujaitendea haki Tanesco.
Watu wanaanza kuhoji baada ya miezi minne au mitano.
Kaa kwa kutulia
 
Salaam! Nikiwa Ni mmoja wa wahanga wa kusotea huduma ya umeme katika halmashauri ya manispaa IRINGA kata ya IGUMBILO, Ni wazi kwamba Meneja wa TANESCO kazi imemshinda. Mteja analipia huduma, TANESCO wanakuja kukagua na kutoa control namba ya kulipia lakini baada ya kuwapa pesa tu mteja atasubiri kwa kipindi kisichopungua miezi mitatu unless ukawa na mkono mrefu.

Ntatoa mfano, Mimi Nyumba yangu ipo Mita chache sanna kutoka katika nguzo ya umeme kiasi ambacho huhitaji kuwa na nguzo ya ziada lakini Ni mwezi wa pili TANESCO hawajaunganisha Umeme na ukiwauliza majibu yao ni kwamba Kuna matatizo katika mfumo. Mfumo upi? Hawana majibu.

Waziri wa Nishati Msaidie huyu Meneja, kazi imemuelemea. Hii sio hisani ni haki ya mteja baada ya kukamilisha malipo na taratibu nyingine. Huyu meneja anakutukanisha na Wananchi huku.
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Swala la urasimu kwa Tanzania n la kudumu yaani huwez kupata huduma kwa sku moja hata kama inawezekana ..kuna kaz kubwa sana ya reformation katika utumishi shda n kwamba wengi wanapata kazi kwa kujuana unakuta meneja wa iringa n ndg yake mtu fulani wa serikalin ...n sheeeeda
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Hili ni tatizo la nchi nzima wewe miezi miwili tu, watu wanasotea mwezi wa saba sasa TANESCO wapo kimya tu na nishawaeleza
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Hizi ni kazi za kiufundi mkuu, hivyo subira inahitajika, wanaojitaji huduma sio wewe tu wapo wengi, changamoto zilizopo Tanesco mafundi ni wachache, unakuta Wilaya nzima ina mafundi nane, na technician mmoja, na wanaohitaji kuunganishiwa umeme ni wengi na wamelipia.

Ndio maana lazima usubiri hiyo miezi mitatu, lakini pia haya ni mambo ya kitaalum, hawakurupuki tu hapana, sasa ukiambiwa mambo hayajakaa sawa inakupasa uamini sio kusema wakufafanulie ni mambo gani hayo!! Menenja wa Tanesco na majukumu mengi ya kufanya sio tu kuunganishia watu umeme, hivyo hiyo sababu yako ni ndogo sana kusema aondolewe kazini!

Hizi kazi za kitaalam mkuu sio za kisiasa kwamba zitaendeshwa kisiasa hapana!! Nafikiri umenielewa, endelea kusubiri vingenevyo mwambie rais Mama samia suluhu kutoa ajira kwa wingi ili kurahisisha ufanisi wa kazi Tanesco.

"Mafundi nane na technician mmoja"?

Sawa ndugu Manager, tumekuelewa
 
Hizi ni kazi za kiufundi mkuu, hivyo subira inahitajika, wanaojitaji huduma sio wewe tu wapo wengi, changamoto zilizopo Tanesco mafundi ni wachache, unakuta Wilaya nzima ina mafundi nane, na technician mmoja, na wanaohitaji kuunganishiwa umeme ni wengi na wamelipia.

Ndio maana lazima usubiri hiyo miezi mitatu, lakini pia haya ni mambo ya kitaalum, hawakurupuki tu hapana, sasa ukiambiwa mambo hayajakaa sawa inakupasa uamini sio kusema wakufafanulie ni mambo gani hayo!! Menenja wa Tanesco na majukumu mengi ya kufanya sio tu kuunganishia watu umeme, hivyo hiyo sababu yako ni ndogo sana kusema aondolewe kazini!

Hizi kazi za kitaalam mkuu sio za kisiasa kwamba zitaendeshwa kisiasa hapana!! Nafikiri umenielewa, endelea kusubiri vingenevyo mwambie rais Mama samia suluhu kutoa ajira kwa wingi ili kurahisisha ufanisi wa kazi Tanesco.
Huo utaalamu gani hivi mnadhani shule mnaenda peke tenu?

Watanzania sio wajinga

Kama control number tayar na ameshalipa kifuatacho ni kazi ta site ambayo haiitaji uwepo wa mtandao Bali kuunganisha tu
 
Huo utaalamu gani hivi mnadhani shule mnaenda peke tenu?

Watanzania sio wajinga

Kama control number tayar na ameshalipa kifuatacho ni kazi ta site ambayo haiitaji uwepo wa mtandao Bali kuunganisha tu
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM

Weka taarifa kamili kwa hatua zaidi tafadhali
 
Back
Top Bottom