Waziri Kalemani: Hakuna shida ya umeme nchini, mitambo yote inafanya kazi vizuri na mabwawa yote yana maji ya kutosha!!

Bin Chuma

JF-Expert Member
Dec 13, 2013
314
243
Muheshimiwa waziri jana nimemsikia akijigamba kwenye tv kwamba hakuna shida ya umeme nchini, mitambo yote inafanya kazi vizuri na mabwawa yote yana maji ya kutosha!!

Je hajui kama dar es salaam baadhi ya maeneo kuna mgao kila wiki?

Je huu mgao unasababishwa na nini?

Maeneo yote ya tabata, gongo la mboto mpaka chanika kila juma 4 na juma 5 huwa ni siku ya mgao, unasababishwa na nini?

Na ni kwa nini hakuna taarifa rasmi ya mgao?
 
Muheshimiwa waziri jana nimemsikia akijigamba kwenye tv kwamba hakuna shida ya umeme nchini, mitambo yote inafanya kazi vizuri na mabwawa yote yana maji ya kutosha!!

Je hajui kama dar es salaam baadhi ya maeneo kuna mgao kila wiki?

Je huu mgao unasababishwa na nini?

Maeneo yote ya tabata, gongo la mboto mpaka chanika kila juma 4 na juma 5 huwa ni siku ya mgao, unasababishwa na nini?

Na ni kwa nini hakuna taarifa rasmi ya mgao?

Mbona Kigogo hukuitaja????
 
Hapa kuna maeneo umeme haupatikani kws siku ya jumanne na jumatano kuanzia msongola,kitonga,mvuti na chanika
 
Siku zq karibuni umeme umekuwa unasumbua na mara nyingine hauna nguvu. Bila shaka utakuwa hautoshi.
 
Hapa kuna maeneo umeme haupatikani kws siku ya jumanne na jumatano kuanzia msongola,kitonga,mvuti na chanika

Hiyo ratiba mpaka Temeke, Tandika mpaka Yombo Mkuu.. Kila Jumanne na Jumatano wanakata umeme tokea asubuhi saa 2 mpaka saa 12 au saa moja jioni.. Jana walikata, na leo pia wamekata..
 
Back
Top Bottom