moto ya mbongo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 476
- 326
Nyuklia management yake ni ngumu sana na gharama sana , ni umeme hatari japo nu nafuu.Kwa nini tusitumie nyuklia , pale Songea ipo ya kutosha au mnaogopa yasije kutokea ya Japan mwaka 2011 , vinu kufumuka , hata hvyo hyo ilikuwa accidentally from tsunami wave shock