Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Halafu ni Prof wa sheria. Anasema Ulaya maandamano wanafanyia nje ya miji. Asilimia kubwa ya watanzania ni ignorant wa elimu ya siasa na hawana exposure ya mambo ya nchi zingine, anautumia huo upungufu kuwaambia lolote analopenda.Nani anaandaa hizo taratibu,
Amemhusisha mdau gani,
Nani amelalamika kuwa zilizopo siyo rafiki?
Kabudi kabudi kabudi hiki kizazi siyo cha Mazuzu