Waziri Kabudi: Nasema kamwe hatutapiga magoti, tumeona vihoja vyao

Kabudi amechemka na anadanganya mchana kweupe.Nyerere alisema hageuki jiwe lakini wananchi tunakumbuka kilichotokea,ukosefu wa vitu,kuporomoka bei ya mazao mpaka kufikia watu kukosa nguo za kuvaa.Pia hili lilizalisha ulanguzi mkubwa wa bidhaa muhimu.Mkapa alikubaliana na wakubwa mpaka tukafutia baadhi ya madeni.
Kinachostua ni hiyo qoute ya kusema wa ndani ni "enemies" na wa nje ni "opponents" na ukimsikiliza kwa makini ni dalili ya kutoa vitisho kwa watu wote wanaokosoa baadhi ya mambo.Hili si jambo jema kwani enemies wanakuwa eliminated na hii ikianza (kama bado haijaanza) ina maana nchi itaingia katika machafuko na Kabudi hatakuwepo kutueleza lolote.
Anazungumza kumfurahisha mteule lakini anapeleka nchi katika mgogoro wa kidiplomasia.
Hakuna nchi iliyoendelea bila kuwa na misimamo na kutokwa jasho la damu
 
Kama Rais wangu ameweza kuyaona matatizo yaliyoko Zimbabwe leo hii zinatoka kauli kama hizi haziwezi kutufikisha iliko Zimbabwe
 
Hivi hawa wazungu si wakate hii misaada walau miezi sita tushike adabu na hawa wajivuni washike adabu kabisa?
 
Mshahara wa uwaziri unampa uzalendo mchwara akiondolewa anapiga u turn kama Nape
 
Yaani nimemsikiliza huyo mnayemwita Prof, nimesikitika sana. Hivi zama hizi kweli ndo vitu vya kuongea? Halafu sioni wapi kahitimisha hoja juu ya wizara yake, i could not hear that. Tumefika pabaya na kuparekebisha itachukua muda mrefu. Na cha kuhuzunisha kuna watu wanapiga makofi kwa nderemo na vifijo. too bad
 
Huyu mbona hakumshauri mzee kuhusu kuomba Zimbabwe IONDOLEWE VIKWAZO. si walikuwa wote huko? Hivyo vikwazo kama havisumbui kwa nini waliomba viondolewe? Hovyo kweli kweli.
 
Ni waziri wa mambo ya nje wa ovyo aijapata tokea, so what is the message hapo kwa dunia kuhusu serikari iliyopo madarakani sisi ni maskini jeuri or what.

Unajiuliza ichi kiburi is that really necessary diplomacy pia ni kujua namna ya kutumia lugha sahihi isiyo direct lakini inafikisha ujumbe.

Halafu speech zake utadhani anawapa wanafunzi kwenye lecture hall unnecessary background info which leads to nothing tangile in terms of principles kwa sisi wasikilizaji zaidi ya intended actions za kipuuzi na ovyo wanazojivunia.

I tell you this Kabudi guy ni majanga tayari kuna raisi mropokaji ambae hapo wizarani aliitajika mtu wa kurekebisha kimataifa interpretation za maneno yake kwenye msimamo wa serikari kutokana na uelewa hafifu wa Magu kuhusu siasa za kimataifa. Aliyekuwepo mwenye uelewa huo wamemtoa wameleta huyu mropokaji mwenzie.

Baada ya miaka 6 ya Magu iliyobaki kama Kabudi atabaki hapo hao wawili kwa kushirikiana hii nchi wataicha katika mahusiano magumu sana na nchi zinazotupa misaada au wenye malengo ya kuja kuwekeza jamaa wanakauli za viburi zisizo na lazima kwa nchi maskini.
 
Ni waziri wa mambo ya nje wa ovyo aijapata tokea, so what is the message hapo kwa dunia kuhusu serikari iliyopo madarakani sisi ni maskini jeuri or what.

Unajiuliza ichi kiburi is that really necessary diplomacy pia ni kujua namna ya kutumia lugha sahihi isiyo direct lakini inafikisha ujumbe.

Halafu speech zake utadhani anawapa wanafunzi kwenye lecture hall unnecessary background info which leads to nothing tangile in terms of principles kwa sisi wasikilizaji zaidi ya intended actions za kipuuzi na ovyo wanazojivunia.

I tell you this Kabudi guy ni majanga tayari kuna raisi mropokaji ambae hapo wizarani aliitajika mtu wa kurekebisha kimataifa interpretation za maneno yake kwenye msimamo wa serikari kutokana na uelewa hafifu wa Magu kuhusu siasa za kimataifa. Aliyekuwepo mwenye uelewa huo wamemtoa wameleta huyu mropokaji mwenzie.

Baada ya miaka 6 ya Magu iliyobaki kama Kabudi atabaki hapo hao wawili kwa kushirikiana hii nchi wataicha katika mahusiano magumu sana na nchi zinazotupa misaada au wenye malengo ya kuja kuwekeza jamaa wanakauli za viburi zisizo na lazima kwa nchi maskini.

Well said Mkuu. Eti anaongelea kuhusu kushangiliwa kwingi ama kidogo kwa Raisi --- kweli jamani? Was that necessary right now?? Eti sijui ilitungwa sheria ya kuvaa suruali ili aruhusiwa spika mwanamke blah blah ujinga ujinga tuu.

Ningekuwa na uwezo ningemshauri amrudishe yule Maige, he is 100 times better that this guy.
 
Wanaume wame KATA misaada kwa siasa zenu Maccm za KIGAIDI.
Mapovu kama yote KABUDI..
Si donner county nyie, Jengeni barabara ile ya njia8 Kimara - Chalize tuione. Mmevunja nyumba za watu hamkuwalipa. Hamna tofauti na MAGAIDI, Nani awape msaada magaidi wa kisiasa nyie WAKATE TU hamna namna.
Wewe mwanamume mzima unashabikia misaada?! Tunatakiwa tusimame kwa miguu yetu.
 
Well said Mkuu. Eti anaongelea kuhusu kushangiliwa kwingi ama kidogo kwa Raisi --- kweli jamani? Was that necessary right now?? Eti sijui ilitungwa sheria ya kuvaa suruali ili aruhusiwa spika mwanamke blah blah ujinga ujinga tuu.

Ningekuwa na uwezo ningemshauri amrudishe yule Maige, he is 100 times better that this guy.
Kabudi uwezo ni wakawaida as days go anaanza kufunguka wachina 'wanamsemo bora ukae kimya watu wakuone mpumbavu, kuliko kufungua mdomo na kuwathibitishia' speech nzima imejaa mapambio kwa raisi (labda ni intentional maana nimegundua wateule wake wengi wanatabia hiyo si ajabu raisi anapenda kiki ya kusifiwa)

Yote tisa aliponiacha hoi ni kujisifia eti sheria ya mazingira kaitunga yeye nina uhakika kilichomo kwenye sheria anayosema tukipekua principles zake ni zile zile 'Brundtland Commissioned Report' zilizopendekezwa kimataifa nchi zote duniani hiyo ndio misingi yao ya sheria zao za mazingira in addition na makubaliano kama ya Kyoto Protocol etc, hivi Kabudi mambo ya mazingira kasoma lini mpaka aandike sheria nzima yeye mwenyewe hapo ndipo nilipomuona mtu wa ovyo zaidi.
 
Wewe mwanamume mzima unashabikia misaada?! Tunatakiwa tusimame kwa miguu yetu.
Tatizo lako wewe na Vilaza wengine mmewaza kwenye misaada tu, hamjawaza Diplomasia ya Uchumi. Wenzetu Wana strive kuweka sawa Diplomasia kwa ajili ya chumi za nchi zao, nyie mnashupaza shingo sii kwa sababu ya nchi, Bali ya Chama! Kwenu nyie mlalapo muamkapo vichwani mnawaza KUTAWALA! Sina Jina zuri la kuwaita zaidi ya WAPUMBAV.U! Hii Ni nchi ya kila Mtanzania, na kila Mtanzania ana Haki ya kuijenga Tanzania. Mmeshindwa kusimama kwenye Condoms baada ya Global Funds kuacha kutoa fedha kwa viburi visivyo na malengo, Leo hii Hawa jamaa walivyotapakaa kila Kona ya nchi hii waki pull out mtaweza kusimama? Acheni kujidanganya! Kwanza hamna watu wenye AKILI ZA KUIWEZWSHA NCHI HII KUSIMAMA YENYEWE, SII MAGUFULI WALA YEYOTE HUKO CCM mwenye hiyo Akili. Leo hii Ujerumani na US wanaisaidia nchi kwenye wanyamapori ambako zaidi ya kuttengeneza majangili, Serikali ya CCM Hakuna ilichofanya huko, kwenye Sekta ya Afya ndo almost kila kitu mnapata toka USAID, UKAID, JHEPIEGO(US), UNFPA, WHO, CANADA, NORWAY, DANIDA, SWEDEN, et Al, Miradi ya Barabara mnategemea WB, US, Japan, et al, huko ndiko kusimama WENYEWE? Mama na dada zako wanaopata Fistula wanatibiwa na hiyo misaada, kondomu unazotumia kwa michepuko zote huko, zaidi ya kuwa WAPUMBAV.U kipi zaidi mnakiweza? Kuua nchi ili kuilinda CCM? Hovyo Sana!
 
Ninaanza kuwa na wasiwasi na hawa wasomi wetu hapo awali nilikuwa nafikiri njaa ndio inawafanya wawe hivyo.

Lakini kila siku zinavyoenda ninaanza kupoteza imani nakuwa na wasiwasi na sioni tofauti kati ya Palamagamba na lipumba.
Ingawa wote ni mapropesa lakini huenda lipumba ni nafuu.....huyu anapotoka zaidi. Lipumba hajawahi kuattempt diplomatic rage ktk harakati zake za kisiasa
 
Huyo rais wako mbona ndiye kichomi kipeuo Cha pili kabisa.
Huyo ni Raisi wetu wote, akifanya vizuri ni sifa yetu kwa watanzania na akifanya vibaya nia aibu yetu wote. Tuunge mkono mazuri yake na tupinge mabaya yake kwa umoja, Tanzania sio ya mtu wala chama.
 
Back
Top Bottom