Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,489
- 86,005
Wiki tatu zilizopita kazini kwetu kuna jamaa alikua anatafuta HG na akaletwa Binti mmoja kwa jina la Esther Banda ambaye nilikuja kugundua kuwa ni M'malawi na alishafanya kazi za ndani kwa watu kadhaa, lakini pia nilikwenda mahali fulani kwa mtu na kukuta nae HG wake ni Mkenya, nikaendelea kukaa kimya ila nikakumbuka kuwa Mama Kabaka alisema kuwa hakuna Foreignres wanaoweza kuja kufanya kazi bongo bila work permit na ruhusa nyinginezo.
Nikapeleleza wee nikakuta kumbe Hata Directors wengi hasa HR na wale wa Utawala ni Wageni, nikaona hivi kweli huyu Mama halioni hili au haambiwi hili?
Sasa Jumatatu nilikua kwenye Ubalozi fulani, yaani eti Walinzi wa KK Security na G4S nayo imeajiri walinzi toka Kenya? Walinzi wa kawaida kabisa? No No hii sasa ni too much jamani, sisemi kumsingizia Mtu ila huo ndio ukweli, nimezitaja kwa makusudi ili kuondoa mzizi wa fitina japo najua kuwa wamiliki wao au wenye hisa pengine ni Wakenya but sidhani kama wanakibali cha kuleta hadi walinzi toka Kenya. Nina uhakika na ninachokiongea
It pains hata kama wanasema Tu wavivu but huu sasa ni uonevu
Nikapeleleza wee nikakuta kumbe Hata Directors wengi hasa HR na wale wa Utawala ni Wageni, nikaona hivi kweli huyu Mama halioni hili au haambiwi hili?
Sasa Jumatatu nilikua kwenye Ubalozi fulani, yaani eti Walinzi wa KK Security na G4S nayo imeajiri walinzi toka Kenya? Walinzi wa kawaida kabisa? No No hii sasa ni too much jamani, sisemi kumsingizia Mtu ila huo ndio ukweli, nimezitaja kwa makusudi ili kuondoa mzizi wa fitina japo najua kuwa wamiliki wao au wenye hisa pengine ni Wakenya but sidhani kama wanakibali cha kuleta hadi walinzi toka Kenya. Nina uhakika na ninachokiongea
It pains hata kama wanasema Tu wavivu but huu sasa ni uonevu