Waziri Kabaka, yaani Hata Walinzi na Housegirls tuna-Import???

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,427
85,872
Wiki tatu zilizopita kazini kwetu kuna jamaa alikua anatafuta HG na akaletwa Binti mmoja kwa jina la Esther Banda ambaye nilikuja kugundua kuwa ni M'malawi na alishafanya kazi za ndani kwa watu kadhaa, lakini pia nilikwenda mahali fulani kwa mtu na kukuta nae HG wake ni Mkenya, nikaendelea kukaa kimya ila nikakumbuka kuwa Mama Kabaka alisema kuwa hakuna Foreignres wanaoweza kuja kufanya kazi bongo bila work permit na ruhusa nyinginezo.

Nikapeleleza wee nikakuta kumbe Hata Directors wengi hasa HR na wale wa Utawala ni Wageni, nikaona hivi kweli huyu Mama halioni hili au haambiwi hili?

Sasa Jumatatu nilikua kwenye Ubalozi fulani, yaani eti Walinzi wa KK Security na G4S nayo imeajiri walinzi toka Kenya? Walinzi wa kawaida kabisa? No No hii sasa ni too much jamani, sisemi kumsingizia Mtu ila huo ndio ukweli, nimezitaja kwa makusudi ili kuondoa mzizi wa fitina japo najua kuwa wamiliki wao au wenye hisa pengine ni Wakenya but sidhani kama wanakibali cha kuleta hadi walinzi toka Kenya. Nina uhakika na ninachokiongea

It pains hata kama wanasema Tu wavivu but huu sasa ni uonevu
 
Hao waliowaajiri ni wabongo au wageni? kama wameajiriwa na wabongo hii sio issue ya kabaka tena.
 
Si ndio serikali mliyoichagua hiyo?
Sheria za kazi za nchi hii zipo wazi kabisa tena very strictly lakini hazifuatwi na hakuna wa kuzisimamia.
 
Hata kama tukipiga kelele za kila aina haitusaidii wao wameridhika na maisha ni vigumu kutukumbuka sisi walala hoi, cha msingi ni kutafuta njia sahihi ya kuwaondoa madarakani.
 
sichagui uchafu huu ni afadhali kura yangu nisiipige kabisa kuliko kuwapigia wahuni hawa
Si ndio serikali mliyoichagua hiyo?
Sheria za kazi za nchi hii zipo wazi kabisa tena very strictly lakini hazifuatwi na hakuna wa kuzisimamia.
 
Back
Top Bottom