Waziri Jenista Mhagama ni threat to our National Security & Interest

AbasMzeEgyptian

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
407
312
Kama kathubutu kuhatarisha usalama wa nchi na kutoa nafasi ya Ukurugenzi mkuu wa NSSF kwa raia wa kigeni (UGANDA) najiuliza maswali mengi ambayo hata majibu sina

Huyu waziri wa Rais Magufuli allegiance yake iko wapi?

Nashauri kitengo cha ya counter intelligence pale TISS wammulike na wapitie records za safari za nje, watu aliokutana nao, watu wa Signit wapitie comms na records zake zote za kipindi cha miaka kumi kurudi nyuma, pia nashauri maamuzi yake ya nyuma nayo yaangaliwe upya kwani inawezekana she's on a covert mission ku destablize taifa hili. Access zake nazo nashauri zipitiwe.

Kwa kweli this is beyond betrayal kwa wazalendo wa nchi hiii sipati picha leo Magufuli atalala huku anajiskiaje kuona waziri wake ni mole tena mole mwenyewe ni kwa msalahi ya taifa la nje.
 
M NAFIKIRI MKUU HELA ULIOPEWA KUONYESHA NSSF AKUNA PENGO WARUDISHIE CHANGE BANAA

KILA TOPIC MALALAMIKO YA JENISTER MHAGAMA ALAFU NIMEKUJA KUSOMA MOJA UMEJAZA MAPICHA YA DAU KIBAO NAAMINI AKUNA ALIEFUNGUA HATA MOJA SASA NAPATA

X+Y=Z
 
Kama kathubutu kuhatarisha usalama wa nchi na kutoa nafasi ya Ukurugenzi mkuu wa NSSF kwa raia wa kigeni (UGANDA) najiuliza maswali mengi ambayo hata majibu sina

Huyu waziri wa Rais Magufuli allegiance yake iko wapi?

Nashauri kitengo cha ya counter intelligence pale TISS wammulike na wapitie records za safari za nje, watu aliokutana nao, watu wa Signit wapitie comms na records zake zote za kipindi cha miaka kumi kurudi nyuma, pia nashauri maamuzi yake ya nyuma nayo yaangaliwe upya kwani inawezekana she's on a covert mission ku destablize taifa hili. Access zake nazo nashauri zipitiwe.

Kwa kweli this is beyond betrayal kwa wazalendo wa nchi hiii sipati picha leo Magufuli atalala huku anajiskiaje kuona waziri wake ni mole tena mole mwenyewe ni kwa msalahi ya taifa la nje.

Nikimfahamu Jenista, sijui lini amebadili jina lake kwani alipokuwa mwalimu wa shule ya msingi Songea aliitwa Jonista. Hilo nalo neon, kwa nini alibadili jina?
 
Kama kathubutu kuhatarisha usalama wa nchi na kutoa nafasi ya Ukurugenzi mkuu wa NSSF kwa raia wa kigeni (UGANDA) najiuliza maswali mengi ambayo hata majibu sina

Huyu waziri wa Rais Magufuli allegiance yake iko wapi?

Nashauri kitengo cha ya counter intelligence pale TISS wammulike na wapitie records za safari za nje, watu aliokutana nao, watu wa Signit wapitie comms na records zake zote za kipindi cha miaka kumi kurudi nyuma, pia nashauri maamuzi yake ya nyuma nayo yaangaliwe upya kwani inawezekana she's on a covert mission ku destablize taifa hili. Access zake nazo nashauri zipitiwe.

Kwa kweli this is beyond betrayal kwa wazalendo wa nchi hiii sipati picha leo Magufuli atalala huku anajiskiaje kuona waziri wake ni mole tena mole mwenyewe ni kwa msalahi ya taifa la nje.
Wewe utakuwa Dau au Mwanaye...dah..yaani kwasiku mada kuhusu NSSF hazipungui 5
 
Acha kutufanya wajinga basi mkuu ,unataka kutuaminisha Mhagama kabisa ndie kafanya uteuzi wa Dr Wangwe peke yake ??? Kwa nafasi ilivyokua nyeti na yenye malalamiko kibao lazima kuna watu au taasisi zilihusika, Vita yako na Jenister sijui ni ipi hasa ,pengine tusubiri sababu za uhakika kwanini alifanya uteuzi na kuutengua ,ndio tuweze kumuhukumu
 
Naunga mkono hoja

Waziri ni blunder japo taarifa ni kuwa Askofu Mkuu Pengo kamwombea kwa JPM kuwa asitumbuliwe

Lakini huyu mama hana interest na nchi hii
 
Nashauri kitengo cha ya counter intelligence pale TISS wammulike na wapitie records za safari za nje, watu aliokutana nao, watu wa Signit wapitie comms na records zake zote za kipindi cha miaka kumi kurudi nyuma, pia nashauri maamuzi yake ya nyuma nayo yaangaliwe upya kwani inawezekana she's on a covert mission ku destablize taifa hili. Access zake nazo nashauri zipitiwe.
kaka, naona hapa ulikuwa unamfundisha Yesu namna ya kusali........!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ti
Kama kathubutu kuhatarisha usalama wa nchi na kutoa nafasi ya Ukurugenzi mkuu wa NSSF kwa raia wa kigeni (UGANDA) najiuliza maswali mengi ambayo hata majibu sina

Huyu waziri wa Rais Magufuli allegiance yake iko wapi?

Nashauri kitengo cha ya counter intelligence pale TISS wammulike na wapitie records za safari za nje, watu aliokutana nao, watu wa Signit wapitie comms na records zake zote za kipindi cha miaka kumi kurudi nyuma, pia nashauri maamuzi yake ya nyuma nayo yaangaliwe upya kwani inawezekana she's on a covert mission ku destablize taifa hili. Access zake nazo nashauri zipitiwe.

Kwa kweli this is beyond betrayal kwa wazalendo wa nchi hiii sipati picha leo Magufuli atalala huku anajiskiaje kuona waziri wake ni mole tena mole mwenyewe ni kwa msalahi ya taifa la nje.
TISS tena mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom