Waziri Jenista Mhagama msaidie mtumishi huyu kabla hajajiua sababu ya Bayport

mtwa mkulu

JF-Expert Member
Sep 11, 2013
8,098
9,993
Wakuu,

Kumekuwepo na nyuzi humu nyingi kulalamikia taasisi ya kihuni ya kinyonyaji ya Bayport karibu kila siku kuna lawama dhidi yao.

Serikali imeendelea kukaa kimya, najiuliza hawa Bayport ni mfupa uliomshinda Rais Magufuli? Au maisha ya mfanyakazi hayana maana yoyote kwenu?

Je, hampokei malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyakazi au mna interest?

Tukienda kwenye story, kuna mtendaji wa Kijiji mdogo wake alijikata na kifaa chenye ncha Kali.

Ameshindwa kumuuguza licha ya kusubmitt kadi yake kwa wahuni Willium Credit wakati fulani aliponyimwa balance na Bayport.. now Hana salary anadaiwa mpaka salary advance.

Wakuu mguu wa dogo nimeshindwa kuutazama hali ni mbaya sana ila ni zao la kimasikini hajaweza kumtibu.

Amepambana sana na balance hawataki kumpa. Tusipoingilia kati atazika ndugu yake huyu hakuna anayejali.

Kama Kuna mtu ana sauti dhidi ya Hawa wahuni ninaomba aje PM tuangalie namna ya kumsaidia huyu kijana , ameniomba sana kwa vile anafahamu mimi ni mdau JamiiForums.

Hata wewe waziri tafadhari umsaidie mtumishi wako ili aweze kukopesheka benki haya sio maisha.
 
Bayport again! Tukipumzika kidogo unashangaa mdau mwingine anawalalamikia platinum credit! WATUMISHI WENZETU, TAFADHALINI SANA! MKIWA NA SHIDA AU DHARURA YOYOTE ILE, MSIKOPE KWENYE HIZO TAASISI ZA KIFEDHA! KOPENI KWENYE VIKUNDI VYENU VYA KUSAIDIANA MAENEO YENU YA KAZI! AU BENKI KAMA CRDB, NMB, NBC, nk.

Nimeona niandike tu kwa herufi kubwa ili kuweka msisitizo maana inaumiza sana. Hao jamaa unaweza ukahisi ni wachawi! Kumbe ni zile mbinu zao tu wanazofundishana ili watuibie kirahisi. Riba zao ni za kuwakomesha wateja wao, hasa watumishi wa umma. Kiufupi tu huwa ni waongo wa kutupwa na hawaaminiki. Poleni sana wahanga wa hizo taasisi.
 
Bayport again! Tukipumzika kidogo unashangaa mdau mwingine anawalalamikia platinum credit! WATUMISHI WENZETU, TAFADHALINI SANA! MKIWA NA SHIDA AU DHARURA YOYOTE ILE, MSIKOPE KWENYE HIZO TAASISI ZA KIFEDHA! KOPENI KWENYE VIKUNDI VYENU VYA KUSAIDIANA MAENEO YENU YA KAZI! AU BENKI KAMA CRDB, NMB, NBC, nk.

Nimeona niandike tu kwa herufi kubwa ili kuweka msisitizo maana inaumiza sana. Hao jamaa unaweza ukahisi ni wachawi! Kumbe ni zile mbinu zao tu wanazofundishana ili watuibie kirahisi. Riba zao ni za kuwakomesha wateja wao, hasa watumishi wa umma. Kiufupi tu huwa ni waongo wa kutupwa na hawaaminiki. Poleni sana wahanga wa hizo taasisi.
 
Acheni kuharibu Biashara za watu. Watumishi ni Wasomi na kabla ya Mikopo wanapewa Vigezo na Masharti hapo shida iko wapi, tupunguze njaaa na malalamiko, Hao Bayport hawajakufuata bali wewe ndie umewafuata wakukopeshe. Kwanin hukwenda PBZ isiyo na Riba, why not NMB nk. Tuache lawama zisizo na msingi wasomi kabisaaa tunalia lia na sababu za kibwege ngoja tukamuliwe maaana hatuna akili. Acheni Bayport wawatieni akili maaana anayeenda huko mwenyewe hana akili.
 
Yaani vitu vingine si lazima u comment
Acheni kuharibu Biashara za watu. Watumishi ni Wasomi na kabla ya Mikopo wanapewa Vigezo na Masharti hapo shida iko wapi, tupunguze njaaa na malalamiko, Hao Bayport hawajakufuata bali wewe ndie umewafuata wakukopeshe. Kwanin hukwenda PBZ isiyo na Riba, why not NMB nk. Tuache lawama zisizo na msingi wasomi kabisaaa tunalia lia na sababu za kibwege ngoja tukamuliwe maaana hatuna akili. Acheni Bayport wawatieni akili maaana anayeenda huko mwenyewe hana akili.
 
Acheni kuharibu Biashara za watu. Watumishi ni Wasomi na kabla ya Mikopo wanapewa Vigezo na Masharti hapo shida iko wapi, tupunguze njaaa na malalamiko, Hao Bayport hawajakufuata bali wewe ndie umewafuata wakukopeshe. Kwanin hukwenda PBZ isiyo na Riba, why not NMB nk. Tuache lawama zisizo na msingi wasomi kabisaaa tunalia lia na sababu za kibwege ngoja tukamuliwe maaana hatuna akili. Acheni Bayport wawatieni akili maaana anayeenda huko mwenyewe hana akili.
Kiongozi tulio nyuma uku hatujasikia vizuri tafadhari ongeza sauti unasema tuache nn?
 
Wakuu,
Kumekuwepo na nyuzi humu nyingi kulalamikia taasisi ya kihuni ya kinyonyaji ya Bayport karibu kila siku kuna lawama dhidi yao.
Serikali imeendelea kukaa kimya, najiuliza hawa Bayport ni mfupa uliomshinda Rais Magufuli? Au maisha ya mfanyakazi hayana maana yoyote kwenu?
Je, hampokei malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyakazi au mna interest?
Tukienda kwenye story, kuna mtendaji wa Kijiji mdogo wake alijikata na kifaa chenye ncha Kali.
Ameshindwa kumuuguza licha ya kusubmitt kadi yake kwa wahuni Willium Credit wakati fulani aliponyimwa balance na Bayport.. now Hana salary anadaiwa mpaka salary advance.
Wakuu mguu wa dogo nimeshindwa kuutazama hali ni mbaya sana ila ni zao la kimasikini hajaweza kumtibu. Amepambana sana na balance hawataki kumpa. Tusipoingilia kati atazika ndugu yake huyu hakuna anayejali.
Kama Kuna mtu ana sauti dhidi ya Hawa wahuni ninaomba aje PM tuangalie namna ya kumsaidia huyu kijana , ameniomba sana kwa vile anafahamu mimi ni mdau JamiiForums.
Hata wewe waziri tafadhari umsaidie mtumishi wako ili aweze kukopesheka benki haya sio maisha.
Umeshindwa kuwalinda wazee wastaafu wanaofanyiwa ukatili wa malipo ya NSSF ya kila mwezi!
 
Kule bank ni hadi Uwe na barua ya kuthibitishwa, ndio mana watu wanakimbilia huku, na hawa wanyonyaji ndio wanatumia advantage hiyo.
so sad,bt kwanini hakwenda kukopa bank anakopitishia mshahara wake?
 
Back
Top Bottom