Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nikiri January ana uwezo mkubwa wa akili ila siyo mjuvi wa mambo yote. January siyo mtaalamu ila ni Kiongozi wa kisiasa. Januari anazo sifa zote za Kiongozi wa kisiasa lakini Hana sifa zote za Kiongozi wa taasisi. Ana mapungufu, na mapungufu aliyonayo ndiyo yaliyopelekea muundo wa taasisi za serikali na binafsi kuchagua kuajiri watu mabalimbali katika maeneo mbalimbali ya taasisi ili waweze kumsaidia huyu binadamu ambaye ajakamilika anayeitwa Mkurugenzi,Waziri au vyovyote aitwavyo.
Wataalamu wa utawala na uongozi wakaenda mbele zaidi wakasema taasisi ikikosa team work uingia kwenye one man show au group of who they think themselves as exceptional from others. Kwa kiswahili chepesi taasisi ikiongozwa na mtu anayejiona ana jua kila kitu ufanya taasisi hiyo ififishe maono ya wengi na mwisho wake team work uondoka na taasisi kufa au kudidimi. Kwa maneno mengine ukiwa na kiongozi anayejiona ana exposure na anajua vingi basi mara nyingi uzaliwa udikteta. Kama kiongoz anajua kila kitu basi ukimpinga itabidi ukae pembeni usubiri siku utakapokuwa kiongoz ndipo utekeleze yale unayohisi anafanya sivyo.
January kuanguka kwake kunakwenda kuchangiwa na tabia ya kujua kila kitu. Tabia hii isipobaki kwenye nafsi yake ikaingia kwenye uso wa wizara na taasisi zake ambazo Zina wataalamu wengi Basi maono yake yatadumu na maono ya wengine kufifishwa. Lazima akubali kuwa msikilizaji sana lakini anaposikiliza ajitahidi Sana anayoyasikiliza yasimwondoe kwenye mpango wake au mpango wa wizara ila yabaki kuboresha kwenye kile anachoota.
Kujifanya unajua sana kunapelekea usijifunze sana na hivyo kubaki ukidhani unajua kuwa ulikuwa unajua ila kwa wakati uliopo ujui.
Jisahihishe uongoze watu kulingna na vipawa vyao na si kuongoza watu kulingana na vipawa ulivyonavyo. Believe on team work backed up with participatoery leadership
Wataalamu wa utawala na uongozi wakaenda mbele zaidi wakasema taasisi ikikosa team work uingia kwenye one man show au group of who they think themselves as exceptional from others. Kwa kiswahili chepesi taasisi ikiongozwa na mtu anayejiona ana jua kila kitu ufanya taasisi hiyo ififishe maono ya wengi na mwisho wake team work uondoka na taasisi kufa au kudidimi. Kwa maneno mengine ukiwa na kiongozi anayejiona ana exposure na anajua vingi basi mara nyingi uzaliwa udikteta. Kama kiongoz anajua kila kitu basi ukimpinga itabidi ukae pembeni usubiri siku utakapokuwa kiongoz ndipo utekeleze yale unayohisi anafanya sivyo.
January kuanguka kwake kunakwenda kuchangiwa na tabia ya kujua kila kitu. Tabia hii isipobaki kwenye nafsi yake ikaingia kwenye uso wa wizara na taasisi zake ambazo Zina wataalamu wengi Basi maono yake yatadumu na maono ya wengine kufifishwa. Lazima akubali kuwa msikilizaji sana lakini anaposikiliza ajitahidi Sana anayoyasikiliza yasimwondoe kwenye mpango wake au mpango wa wizara ila yabaki kuboresha kwenye kile anachoota.
Kujifanya unajua sana kunapelekea usijifunze sana na hivyo kubaki ukidhani unajua kuwa ulikuwa unajua ila kwa wakati uliopo ujui.
Jisahihishe uongoze watu kulingna na vipawa vyao na si kuongoza watu kulingana na vipawa ulivyonavyo. Believe on team work backed up with participatoery leadership