Itoshe tu kusema kwa sasa hatuoni faida yoyote ya waziri wa nishati, huduma mbovu na za hovyo za sasa kwa mara ya mwisho tuliziona miaka ya 2012 huko
Hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasa hivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,
Mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?
Watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa
Sasa hivi imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,
Mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?
Tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?
Mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikuwa umesubiri kalemani atoke ndio uanze?
Tunajuta ni bora hata angebaki Medard Kalemani
Makamba hamna kitu kabisa
CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka
Hapa nilipo mpaka sasa hakuna umeme tangu saa mbili asubuhi sasa hivi inaelekea saa 12 jioni hakuna umeme,
Mnategemea sisi wananchi tutafanyaje uzalishaji?
Watu wana mitambo ya tofali wengine welding watu wana stationary na vengine vingi siku nzima umeme hakuna mnataka tuishije? na hiii sio mara ya kwanza ni mazoea sasa
Sasa hivi imezoeleka mtu ibapita siku nzima hujazalisha hata shilingi mia sababu ya umeme,
Mbona kama mnatulazimisha tumkumbuke Magufuli?
Tukiongea mnasema watanzania wamezoea kulalamika mbona hatuambiwi sababu ni nini ya mgao wa umeme?
Mi naomba niulize hivi huu mgao wa umeme ulikuwa umesubiri kalemani atoke ndio uanze?
Tunajuta ni bora hata angebaki Medard Kalemani
Makamba hamna kitu kabisa
CCM sio wa kuendekeza tena, tumechoka tumechoka