Nnangale
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 2,664
- 1,374
We endekeza huo uchawa Kama inawezekana huko kwa Nini hapa isiwezekane wkt STD zinazotumika ni hizohizo.hii nchi leo inaendeshwa je?Kwahiyo kama nchi ya marekani haizimi umeme unataka na Tanzania isizime umeme akili za kifaller hizi