Huoni kama wewe ndo kilaza aisee,au hujui CFCs toka ktk mafridge/AC ndo zinachangia KWA kiasi kikubwa kuharbu ozone?Hapa alipowekwa ndio naamini jamaa ni kilaza licha ya mbwembwe nyingi za kwenye media kipindi yupo Tamisemi na ndio maana aliondolewa...
Kwahiyo kama yanaharibu na kuchafua mazingira yanakujajekujaje?yanapitajepitaje?Waziri wa mazingira mh Jaffo amewataka wananchi kuacha kutumia majokofu ya mitumba kwani yanachafua hali ya hewa na hivyo kuharibu mazingira.
Jaffo amesema ni vema wananchi wakanunua majokofu mapya kwa ajili ya usalama wa afya zao.
Source: Upendo tv
Yuko sahihi mzee wako....ANAONEKANA ANA BUSARA SANA HUYO MZEE...KONGOLE KWAKO KUWA NA WAZEE KAMA HAOKuna mzee aliwahi kuniambia mwanaume mweny3 wake au wapenzi kuanziq wanne ...huwa n dhaifu Sana kiuongozi !
Sijui Kama Ina ukweli hii nadharia!
Kaacha Kupiga Nyungu Sasa Hivi Anasema Jokofu Kama Linauzwa Tshs 100/=Huyu mzaramu anadharau sana
Kwa level yetu Tanzania na afrika kwa ujumla, tunaweza kujua na kutathmini athari ya mazingira yatokanayo na gasi!? Hii ni kutaka tu kuleta mtafarukuKinachosemwa ni kuwa mafundi wa majokofu wanapoyatengeneza aina ya gesi wanayoitoa kwenye kompresa ili waweke nyingine huharibu mazingira.
Mi naomba kuuliza majokofu ndio kitu gani
Just asking for a friend.Ukweli ni kuwa used friji zilizojaa Hapa nchini Ulaya azitakiwi tena 1.zinakula sana Umeme 2.Zina Gesi Hatarishi zinazoharibu Ozone Layer....so sisi ni damping site..mbali na hizo friji pia kuna taka nyingi za kielectronic ambazo zinajaza nchi yetu bila faida bali hasara kwa mazingira yetu.
Kuna ukweli ndani yake lakini wajue hali za Watanzania wengi hawawezi kumudu gharama za jokofu jipya.Huyu mzaramu anadharau sana
Gas inayotumika sasa kwenye majokofu ni rafiki kwa ozone layer. Gas f12 ilibainika siku nyingi haifai na ulaya wakatunga sheria mwisho wa kutumia majokofu yanayotumia f12 ni mwaka 2025. Naamini serikali ililijua hilo, lakini majokofu yaliokuwa yanaingizwa nchini kama mitumba (mengine yakiwa ni mapya kabisa), ilikaa kimya. Serikali inawajibu wa kuwalipa fidia wananchi ili waondokane nayo. Lakini kwa vile ni serikali ya kutofata sheria (rejea maamuzi ya viroba na mifuko ya plastic), haitashangaza kuona inaagiza marufuku na kuingia majumba ya watu kuyakamata.Waziri wa mazingira mh Jaffo amewataka wananchi kuacha kutumia majokofu ya mitumba kwani yanachafua hali ya hewa na hivyo kuharibu mazingira.
Jaffo amesema ni vema wananchi wakanunua majokofu mapya kwa ajili ya usalama wa afya zao.
Source: Upendo tv
Ni zaidi ya miaka 20 tangu EU ipige marufuku matumizi ya gas ya f12, Tanzania ikawa dumping site ya majokofu hayo, wizara ya mazingira ilikuwepo ikivinjari. Leo ndio Jafo analiona.Zuia yasiingie nchini.
Simple.
Hivi Jafo ana elimu gani au alisoma chuo gani?
Waziri wa mazingira mh Jaffo amewataka wananchi kuacha kutumia majokofu ya mitumba kwani yanachafua hali ya hewa na hivyo kuharibu mazingira.
Jaffo amesema ni vema wananchi wakanunua majokofu mapya kwa ajili ya usalama wa afya zao.
Source: Upendo tv