nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Saalam!
Katika Mambo ambayo Waziri Jafo anatakiwa kuwa makini ni juu ya mipango miji.
Nimeenda manispaa ya morogoro nimeona stand ya daladala imehamishiwa mafiga, nilipohoji, jibu ni kwamba kuondoa jam katikati ya mji.
Hawakuzingati Mambo mengi Sana, Sasa kumekuwa na jam mjini kuliko kawaida. Jafo hukuwahoji watendaji wako? Meya huyu hakustahili kabisa kurudi kwenye nafasi ya umeya kwani ndiyo waliojenga stand ya mafiga Jambo ambalo ni Kama hasara tu.
Daladala hazipaki huko zinazunguka tu mjini.
Jafo rudi Moro uone.
Katika Mambo ambayo Waziri Jafo anatakiwa kuwa makini ni juu ya mipango miji.
Nimeenda manispaa ya morogoro nimeona stand ya daladala imehamishiwa mafiga, nilipohoji, jibu ni kwamba kuondoa jam katikati ya mji.
Hawakuzingati Mambo mengi Sana, Sasa kumekuwa na jam mjini kuliko kawaida. Jafo hukuwahoji watendaji wako? Meya huyu hakustahili kabisa kurudi kwenye nafasi ya umeya kwani ndiyo waliojenga stand ya mafiga Jambo ambalo ni Kama hasara tu.
Daladala hazipaki huko zinazunguka tu mjini.
Jafo rudi Moro uone.