nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
- Thread starter
- #81
Nitatetea Kila Jambo ninaloliona ni sahihi.Usiwe mbishi, kubali kukosolewa. Kuwa na udhaifu wa uelewa wa jambo fulani, siyo dhambi. Nakuhakikishia hutaenda jehanamu kwa kukubali mapungufu yako na kisha ukatulizana na kuanza kuyafanyia kazi ya kuyaondoa. Katika mada iliyomezani, kubali kuelekezwa, siku si nyingi utakuwa shujaa.
Suala la uelewa Kila mtu analo japo tunatofautiana viwango.
Hao unaowaona wanauelewa, wanapinga hoja au wanapinga kwakuwa Waziri amehusishwa?
Tuanzie hapo
Maana tumeona mfano Lukuvi amekuwa akitatua migogoro mingi ya ardhi nchi nzima, kwani huko watu wa ardhi mkoa, wilaya na mabaraza ya ardhi hayapo?
Kusema huko Kuna ded, DC madiwani hiyo ni akili timamu?
Tumeona hao wanaosema wapo,wamekosea, niambie nani wakumwendea baada ya ngazi hizo kuboronga?
Saidia palipo na ukweli mkuu,!!
Tumesoma mabandiko mengi humu, wakiambiwa mawaziri hata mkuu wa nchi kuwa njoo au nenda mkoa, wilaya au idara Fulani kuna uozo, je huko hakuna viongozi?