Waziri Jafo, hukuona mapema stendi ya daladala ya Manispaa ya Morogoro ilikojengwa, hukuwahoji wataalam wa mipango miji Manispaa?

Wewe Ndio uniambie anahusika vipi wakati Kuna Baraza la madiwani hapo ndio limebuni huo mradi.
Swali langu limekuzidi umri,na uwezo.
Halmashauri zote zipo chini ya wizara anayoisimamia Jaffo.
Miradi yote inayoanzishwa na halmashauri zote lazima mpango upite ofisini kwake.

Na ndiyo maana huzindua miradi mbalimbali na kuifungua.
Mahalo pengine tumeona Jaffo akiwa mkali Kama Mambo hayako sawa.

Nimeona nikupe shule kidogo ili ubongo wako ukomae.

Sasa jibu swali hili:
Kama Jaffo hahusiki na miradi inaanzishwa na hamshauri kupitia madiwa kwani anaizindua au kuifungua?

Ila usipaniki tena,maana unaonekana unajaziba
 
Swali langu limekuzidi umri,na uwezo.
Halmashauri zote zipo chini ya wizara anayoisimamia Jaffo.
Miradi yote inayoanzishwa na halmashauri zote lazima mpango upite ofisini kwake.

Na ndiyo maana huzindua miradi mbalimbali na kuifungua.
Mahalo pengine tumeona Jaffo akiwa mkali Kama Mambo hayako sawa.

Nimeona nikupe shule kidogo ili ubongo wako ukomae.

Sasa jibu swali hili:
Kama Jaffo hahusiki na miradi inaanzishwa na hamshauri kupitia madiwa kwani anaizindua au kuifungua?

Ila usipaniki tena,maana unaonekana unajaziba
Wapi nimesema Jafo hausiki ?

Yani Baraza la madiwani ambalo ndio lipo kwenye mradi linashikdwa kusimaminia mradi ulio kwao Tena mradi ambao wanaenda kutumia wao mpaka Waziri aseme na Kama huoni kosa Basi wewe ni mpuuzi mkubwa.


Nyie kundi la madiwani mnashindwa kuona madudu mnataka kichwa kimoja ndio kije kuona Nyie ni wapuuzi.


Chagueni viongozi wanaojielewa pumbav wewe na sio kulia lia
 
Wapi nimesema Jafo hausiki ?

Yani Baraza la madiwani ambalo ndio lipo kwenye mradi linashikdwa kusimaminia mradi ulio kwao Tena mradi ambao wanaenda kutumia wao mpaka Waziri aseme na Kama huoni kosa Basi wewe ni mpuuzi mkubwa.


Nyie kundi la madiwani mnashindwa kuona madudu mnataka kichwa kimoja ndio kije kuona Nyie ni wapuuzi.


Chagueni viongozi wanaojielewa pumbav wewe na sio kulia lia
Jenga hoja acha kupata Moto mdogo wangu,
Ukipata Moto huku ukijenga hoja dhaifu unaonekana wewe mpumbavu.
Au wewe no Jaffo mwenyewe?
JIBU SWALI HILI.
Ikitokea kwenye halmashauri yoyote wamejenge soko kwenye maeneo ya hifadhi ya barabara, je Jaffo asingehoji?
 
Habari za ndani zinasema, bajaj na pikipiki nyingi ni za viongozi wa hapo Manispaa, kwahiyo kuondoa stand kumeinu biashara zao za bajaj na pikipiki
 
Huyu jamaa sio mtendaji makini ni mtoa kauli za ukali tu ila suala la utendaji wenye tija ni zero kabisa mkuu.
Kwani mipango miji au kazi ya kupanga stendi zenu ni kazi ya Jafo ? Wewe ndio kiazi hakuna pahali Jafo anapitisha mipango ya Halmashauri zenu yeye kazi yake ni kusimamia value for money
Muulize Mkurugenzi na wataalamu wake,Meya na madiwani wake na Mkuu wa mkoa na sekretariati yake
 
Kuna mambo mengi ya kipuuz ambayo yalifanywa na watumishi wa umma kwa gharama ya walipakodi na yameharibika au wakaja kuvunja tena
Mifano iko mingi ila mm nakuja na mmja sehemu niliko walijenga kipande cha barabara kwa gravel wakati baada ya mwaka hakijaharibika wanakuja kuweka lami yaani pesa imepotea
 
Jafo maneno mengi lakini hamna kitu. Anaweza kuwa waziri wa kwanza kutumbuliwa awamu hii, na wizara yake ina mambo mengi sana. Simbachawene aliiweza ile wizara.
Kelele zenu tuu au debe tupu,haya tuambie aliiweza vipi? Tamisemi na Wizara ya Mambo ya Ndani ni ngumu na huwezi kufaulu usimamizi wake kwa kutegemea utazunguka Kila sehemu
Huyo Simbachawene hakuna anachofanya huko mambo ya Ndani saizi mapolisi wamerudi kuonea wananchi ,,Waziri mnenguaji alikuwa rafiki wa watu wa chini na mapoti wakubwa ndio walimchukia na yeye ndio aliiweza ile wizara
 
Waziri wa Tanzania nzima mnampa lawama za Morogoro?

Na mikoa mingine wamlaumu nani??


Stendi za kila mkoa ni kazi ya waziri??
Wapumbavu hao Waziri ndio awapangie kwa kujenga stendi na kasoko yenu? Mda huo maviongozi waliowachagua nini?
 
Kama hahusiki yupo kwa kazi gani?
Hebu eleza kwa akili happy.
Yeye ni msimamizi wa sera za serikali,miongozo na maelekezo ya Baraza la mawaziri ,,watendaji ni wengine ila yeye hawezi kuwapangia nyie pa kujenga stendi au hospital au barabara yeye atakuja kuangalia value for money na je mpango mlioombea pesa kama mfano hizo stendi zimefanyika ilivyotarajiwa? Hayo mengine muulize DED na meya
 
Wapumbavu hao Waziri ndio awapangie kwa kujenga stendi na kasoko yenu? Mda huo maviongozi waliowachagua nini?
Upumbavu ni sifa, hata wewe unayo.
Mbona mnapata Moto, jengeni hoja yenye nguvu.
Waziri anawajibu wa Tanzania nzima, je morogoro hawana haki na hao mawaziri, wanaolipa Kodi ni Arusha, Tanga, mwanza nk? Tumieni akili mlizobaki nazo kidogo
 
Upumbavu ni sifa, hata wewe unayo.
Mbona mnapata Moto, jengeni hoja yenye nguvu.
Waziri anawajibu wa Tanzania nzima, je morogoro hawana haki na hao mawaziri, wanaolipa Kodi ni Arusha, Tanga, mwanza nk? Tumieni akili mlizobaki nazo kidogo
Nimeshakujibu hapo juu kazi ya Waziri kwa mfano ikitokea mradi umekuwa hauna tija kwa watu Waziri anaweza kuwatumbua DED na wataalamu wengine waliohusika ila kazi yake sio kusema wapi kuwe na stend huo ujinga ulizaneni huko huko kwenu
 
Kuna mambo mengi ya kipuuz ambayo yalifanywa na watumishi wa umma kwa gharama ya walipakodi na yameharibika au wakaja kuvunja tena
Mifano iko mingi ila mm nakuja na mmja sehemu niliko walijenga kipande cha barabara kwa gravel wakati baada ya mwaka hakijaharibika wanakuja kuweka lami yaani pesa imepotea
Hawa wanaotetea jaffo Kuna Mambo mawili Aisha Wana maslahi nae au uwezo wao mdogo was kufikiri.

Mfano mwingine ni huu, ukitoka dumila ukielekea kilosa, katikati ya msowero na dumila palijengwa majengo makubwa ya gharama kubwa, ilielezwa ni chuo kikubwa Cha mifugo afrika mashariki.

Toka nimeyaona Yale majengo ni zaidi ya miaka20.
Hakuna cha chuo Wala nini.
Pesa zetu zimepotea pale.
Tunapozungumzia miradi inayoliletea hasara taifa haijalishi ni mkoa,wilaya na tarafa gani.
Wengine hatuishi morogoro Bali yaliyo na yanayoendelea kutendeka tunayaona na yanatuumiza kwa kuwa no wazalendo.

Sasa hao wanaopinga wanapinga kwa hoja dhaifu Sana kwakuwa wamezoea kulamba pale chini hata Kama pananuka
 
Nimeshakujibu hapo juu kazi ya Waziri kwa mfano ikitokea mradi umekuwa hauna tija kwa watu Waziri anaweza kuwatumbua DED na wataalamu wengine waliohusika ila kazi yake sio kusema wapi kuwe na stend huo ujinga ulizaneni huko huko kwenu
Hii mada umeikurupukia tu, hujaielewa.
Nakushauri rudia kusoma huenda ukaelewa
 
Yeye ni msimamizi wa sera za serikali,miongozo na maelekezo ya Baraza la mawaziri ,,watendaji ni wengine ila yeye hawezi kuwapangia nyie pa kujenga stendi au hospital au barabara yeye atakuja kuangalia value for money na je mpango mlioombea pesa kama mfano hizo stendi zimefanyika ilivyotarajiwa? Hayo mengine muulize DED na meya
Soma vizuri huenda ukaelewa
 
Kama hahusiki yupo kwa kazi gani?
Hebu eleza kwa akili happy.
Usiwe mbishi, kubali kukosolewa. Kuwa na udhaifu wa uelewa wa jambo fulani, siyo dhambi. Nakuhakikishia hutaenda jehanamu kwa kukubali mapungufu yako na kisha ukatulizana na kuanza kuyafanyia kazi ya kuyaondoa. Katika mada iliyomezani, kubali kuelekezwa, siku si nyingi utakuwa shujaa.
 
Back
Top Bottom