Umewaza kitu ambacho watu wengi walikiwaza wakiwemo madereva wa bajajiStand ingejengwa kikundi, jirani na soko,wangetengeneza Akira nyingi kwa wakazi was mji.
Kwa Hali ilivyo sitashanga kusikia amri abiria wakashukie mafiga.
Maana mjini hali mbaya kuhusu usafirishaji
Hilo ndiyo tatizo la wenzetu wa pwani kwenye uongozi huwa wengi wao hawana uwezo nalo.Huyu jamaa sio mtendaji makini ni mtoa kauli za ukali tu ila suala la utendaji wenye tija ni zero kabisa mkuu.
Daladala ni biashara ya katikati ya mji, ukiziweka nje ya mji unataka abiria wakishuka wapande bodaboda kwenda mjini!
Hawa makada wa ccm wanajali maslahi yao tuuuMafiga ni karibu na kwake na biashara zake coz mtaa unaofata kwa kaskazini (misufini) ndo nyumban kwa meya labda awe amehama hv karibuni na kwa upande wa magharibi mtaa unaofata ndo biashara zake za mbao na hardware zilipo(77)
MzaramoHivi Jafo ni Mzaramo au kabila gani?
Hili swali ulilo uliza lilukuwa pia akilini mwanguHivi Jafo ni Mzaramo au kabila gani?
Ulakotze neezaTumia akili kidogo ulizobaki nazo mkuu
Wazaramo si wakali hataHuyu jamaa sio mtendaji makini ni mtoa kauli za ukali tu ila suala la utendaji wenye tija ni zero kabisa mkuu.
Ccm hoyeeeeeeeMkuu, nchi hii imezingwa na Mambo wawili
1. Chukua chako mapema, hii haijali Sheria kila anayeingia anachangamka
2 . Siasa, siasa ya nchi hii sijawahi ona au kuisikia popote pale duniani.
Siasa za nchi hii Zina meno, zinatafuta Sheria na taaluma.
Dr wa binaadam hana maana mbele ya katibu was ccm yoyote Ile.
Wataalam wakifanyakazi zao kitaalam, anakuja mwanasiasa hasa was chama tawala anatoa amri nyingine nje ya taaluma iliyoelekeza Nini kifanyike,
Hasa hasa awamu hii
Na wakati ndo next mitanoJafo maneno mengi lakini hamna kitu. Anaweza kuwa waziri wa kwanza kutumbuliwa awamu hii, na wizara yake ina mambo mengi sana. Simbachawene aliiweza ile wizara.
Kuna siku nilikutana na kada wa ccm anaitwa somebody Mnola, akaanza kujitapa kuwa nimechua vikazi vikazi soko kuu na viosk stand ya daladala.Hawa makada wa ccm wanajali maslahi yao tuuu
Jafo na uzalamo wake,anaongea faster faster hadi anakuchanganya!!
Kila mkoa utatoa kero zake na wengine tutachangia kadiri iwezekanavyo.Waziri wa Tanzania nzima mnampa lawama za Morogoro?
Na mikoa mingine wamlaumu nani??
Stendi za kila mkoa ni kazi ya waziri??