beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
WAZIRI wa nchi,Ofisi ya Rais Tamisemi Selemani Jafo ametoa siku 68 kwa halmashauri 4 za Kigoma Ujiji, Butiama, Liwale na Bahi kurejesha fedha za mradi wa elimu (Equip)zilizotumika kinyume na utaratibu.
Aidha ametoa wiki moja kwa Mweka Hazina wa Manispaa ya Iringa ambaye awali alikuwa akifanya kazi Halamshauri ya Bahi, Saad Ishabairo kuchunguzwa akidai utendaji wake una mashaka
Halmashauri hizo ni kati ya halmashauri 8 zilizotumia fedha kinyume kiasi cha milioni 912.7 ambapo halmashauri 4 zilitekeleza agizo lake na kurejesha fedha.
"Halmashauri hizi wamenihuzunisha sana kwa kutotii maelekezo, naziagiza mpaka machi 28 mwaka huu wawe wamerejesha ili fedha hizo zitekeleze miradi iliyokusudiwa, "amesema Jafo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aidha ametoa wiki moja kwa Mweka Hazina wa Manispaa ya Iringa ambaye awali alikuwa akifanya kazi Halamshauri ya Bahi, Saad Ishabairo kuchunguzwa akidai utendaji wake una mashaka
Halmashauri hizo ni kati ya halmashauri 8 zilizotumia fedha kinyume kiasi cha milioni 912.7 ambapo halmashauri 4 zilitekeleza agizo lake na kurejesha fedha.
"Halmashauri hizi wamenihuzunisha sana kwa kutotii maelekezo, naziagiza mpaka machi 28 mwaka huu wawe wamerejesha ili fedha hizo zitekeleze miradi iliyokusudiwa, "amesema Jafo.
Sent using Jamii Forums mobile app