King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,042
- 1,349
Mataga endeleeni kuimba mapambio ya kusifu na kuabudu utopolo .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,Hii picha ni ya nani?, Magufuli!!??, sidhani. Magufuli wetu wa sasa anang'aa, huyu atakuwa mwingine
Huyu mangwinji alikuwa anatoa haya matamko yake kama waziri wa nini? Maana yeye alikuwa TAMISEMI, mambo ya nyungu ni masuala yanayoangukia wizara ya afya, unajua wakati mwingine ilikuwa ngumu sana hii serikali ya Kayafa.
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza rasmi kuanza kwa kampeni ya nyungu season 3. Amesema hayo akiwa mkoani Tabora katika ziara ya kikazi Rais mkoani humo.
Waziri jafo alinkukuliwa akisema “Rais Magufuli juzi ulisema Watanzania tuko salama, angalia Umati huu wote tuko salama, hapa Corona haina nafasi, tutaendelea kumuomba Mungu na umesema Watu wajifukize sana, Jumatatu tunaanza Kampeni nyingine ya Wiki moja Season 3 , nyungu kama kawaida“
"Rais [Magufuli] naomba nikwambie, Jumatatu tunaanza kampeni nyingine ya one week season three, nyungu kama kawaida. Tunajifukiza, tunakula matunda, tunamuomba Mungu. Tunaanza tarehe 1 mpaka tarehe 7, hatupoi, kazi inaendelea."-
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza rasmi kuanza kwa kampeni ya nyungu season 3. Amesema hayo akiwa mkoani Tabora katika ziara ya kikazi Rais mkoani humo.
Waziri jafo alinkukuliwa akisema “Rais Magufuli juzi ulisema Watanzania tuko salama, angalia Umati huu wote tuko salama, hapa Corona haina nafasi, tutaendelea kumuomba Mungu na umesema Watu wajifukize sana, Jumatatu tunaanza Kampeni nyingine ya Wiki moja Season 3 , nyungu kama kawaida“
"Rais [Magufuli] naomba nikwambie, Jumatatu tunaanza kampeni nyingine ya one week season three, nyungu kama kawaida. Tunajifukiza, tunakula matunda, tunamuomba Mungu. Tunaanza tarehe 1 mpaka tarehe 7, hatupoi, kazi inaendelea."-
Hii ni zaidi ya nyungu
Nchi ilikua inaliwatu na jamaa zake wakurugenzi. Anawasifiatu. Aende upande wa pili na msufuria wake akaongezewe karafuu hata akitaka na shombo la samaki ili nyungu iwe kali zaidi
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza rasmi kuanza kwa kampeni ya nyungu season 3. Amesema hayo akiwa mkoani Tabora katika ziara ya kikazi Rais mkoani humo.
Waziri jafo alinkukuliwa akisema “Rais Magufuli juzi ulisema Watanzania tuko salama, angalia Umati huu wote tuko salama, hapa Corona haina nafasi, tutaendelea kumuomba Mungu na umesema Watu wajifukize sana, Jumatatu tunaanza Kampeni nyingine ya Wiki moja Season 3 , nyungu kama kawaida“
"Rais [Magufuli] naomba nikwambie, Jumatatu tunaanza kampeni nyingine ya one week season three, nyungu kama kawaida. Tunajifukiza, tunakula matunda, tunamuomba Mungu. Tunaanza tarehe 1 mpaka tarehe 7, hatupoi, kazi inaendelea."-