Waziri Jafo atangaza wiki moja ya "nyungu" season 3

Nyungu imewaponza wengi,haisaidii chochote.
Tufuate njia tunazoshauriwa na wataalam
 

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza rasmi kuanza kwa kampeni ya nyungu season 3. Amesema hayo akiwa mkoani Tabora katika ziara ya kikazi Rais mkoani humo.

Waziri jafo alinkukuliwa akisema “Rais Magufuli juzi ulisema Watanzania tuko salama, angalia Umati huu wote tuko salama, hapa Corona haina nafasi, tutaendelea kumuomba Mungu na umesema Watu wajifukize sana, Jumatatu tunaanza Kampeni nyingine ya Wiki moja Season 3 , nyungu kama kawaida“

"Rais [Magufuli] naomba nikwambie, Jumatatu tunaanza kampeni nyingine ya one week season three, nyungu kama kawaida. Tunajifukiza, tunakula matunda, tunamuomba Mungu. Tunaanza tarehe 1 mpaka tarehe 7, hatupoi, kazi inaendelea."-
Huyu mangwinji alikuwa anatoa haya matamko yake kama waziri wa nini? Maana yeye alikuwa TAMISEMI, mambo ya nyungu ni masuala yanayoangukia wizara ya afya, unajua wakati mwingine ilikuwa ngumu sana hii serikali ya Kayafa.

Halafu alikuwa anatupuuzisha huku anashindwa kusimamia wizara yake. Nashindwa kuelewa kwa nini mpaka leo yupo na matamko kila siku hakuna hatua anayochukua.

Halafu siku ya mazishi kinaonekana kimevaa barakoa nyeusi kama ametafuna kunguru wa Zanzibar.
 
Waziri mzima anapikia mkaa. Unatarajia nini kutoka kwake.

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza rasmi kuanza kwa kampeni ya nyungu season 3. Amesema hayo akiwa mkoani Tabora katika ziara ya kikazi Rais mkoani humo.

Waziri jafo alinkukuliwa akisema “Rais Magufuli juzi ulisema Watanzania tuko salama, angalia Umati huu wote tuko salama, hapa Corona haina nafasi, tutaendelea kumuomba Mungu na umesema Watu wajifukize sana, Jumatatu tunaanza Kampeni nyingine ya Wiki moja Season 3 , nyungu kama kawaida“

"Rais [Magufuli] naomba nikwambie, Jumatatu tunaanza kampeni nyingine ya one week season three, nyungu kama kawaida. Tunajifukiza, tunakula matunda, tunamuomba Mungu. Tunaanza tarehe 1 mpaka tarehe 7, hatupoi, kazi inaendelea."-
 

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza rasmi kuanza kwa kampeni ya nyungu season 3. Amesema hayo akiwa mkoani Tabora katika ziara ya kikazi Rais mkoani humo.

Waziri jafo alinkukuliwa akisema “Rais Magufuli juzi ulisema Watanzania tuko salama, angalia Umati huu wote tuko salama, hapa Corona haina nafasi, tutaendelea kumuomba Mungu na umesema Watu wajifukize sana, Jumatatu tunaanza Kampeni nyingine ya Wiki moja Season 3 , nyungu kama kawaida“

"Rais [Magufuli] naomba nikwambie, Jumatatu tunaanza kampeni nyingine ya one week season three, nyungu kama kawaida. Tunajifukiza, tunakula matunda, tunamuomba Mungu. Tunaanza tarehe 1 mpaka tarehe 7, hatupoi, kazi inaendelea."-
Nchi ilikua inaliwatu na jamaa zake wakurugenzi. Anawasifiatu. Aende upande wa pili na msufuria wake akaongezewe karafuu hata akitaka na shombo la samaki ili nyungu iwe kali zaidi
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom