Waziri Jafo atamani Halmashauri zijitegemee baada kutembelea mradi wa Government City Complex wa jijini Dodoma

Tatizo kubwa la Halmashauri nyingi ni baraza la madiwani kukosa watu wabunifu wa vyanzo vya mapato ndani. Je ! wakuu wa idara na Vitengo mbalimbali ambao ni wataalamu washauri wanatekeleza jukumu lao katika Baraza la madiwani; na wanatimiza wajibu kama wataalamu kuwasaidia wakurugenzi katika utekelezezaji wa shughuli mbalimbali katika kila idara na vitengo kwa mafanikio ya halmashauri ? Vema halmashauri nyingine kujifunza kwa jiji la dodoma
Kuwekeza kunawezakuwa na tija lakini ni vizuri wakajifunze kwa Mkoa wa Dar es Salaam ambao ulikuwa na vitega uchumi chini ya DDC. Vile vile kuna Chama cha Ushirika cha Mkoa Kilimanjaro, kilikuwa na KNCU Hotel lakini miradi hiyo haiingizi fedha tena kama ilivyokuwa imetarajiwa.
 
Umesema vema ! Lakini tunatarajia mafanikio makubwa kwa sababu ya utawala wa mhe.John Magufuli unapinga ufisadi

Kuwekeza kunawezakuwa na tija lakini ni vizuri wakajifunze kwa Mkoa wa Dar es Salaam ambao ulikuwa na vitega uchumi chini ya DDC. Vile vile kuna Chama cha Ushirika cha Mkoa Kilimanjaro, kilikuwa na KNCU Hotel lakini miradi hiyo haiingizi fedha tena kama ilivyokuwa imetarajiw
 
Huku kutajazana kila kitu !! ,kwanini kusiwe na mgawanyiko wa vitega uchuki kwenye mji !!, huoni ukuaji wa mji kuelekea singida unakuwa mgumu tofauti na njia ya DSM.
Kuna mgawanyo mzuri wa kitaalamu kama ukitazama master plan ya jiji la Dodoma na wilaya za mkoa wa Dodoma kama makao makuu ya nchi.
 
Back
Top Bottom